Nani hajui watuhumiwa hupata kibano rumande kusema kweli leo mnamgeuzia kibao Sabaya kwa kua Magufuli kafa?

Nani hajui watuhumiwa hupata kibano rumande kusema kweli leo mnamgeuzia kibao Sabaya kwa kua Magufuli kafa?

Nimeona clip za video za baadhi ya watu wanaodai kuteswa na Sabaya. Zaidi ya madai yao hawaelezi wameteswa wapi na kwa sababu gani. Sabaya alikua Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya. Kwenye kamati hiyo wako wakuu wa vyombo vya ulinzi. Clip za Sabaya akienda kukamata au kupeleleza zinaonyesha wakikuta muhalifu anawakabidhi wahusika kisheria kushughulikia.

Usalama kwenye upelelezi hakuna asiejua wanatumia pia mbinu ya kumpiga au kumtesa mshukiwa kupata ushahidi. Kwenye jimbo la Hai Sabaya amepambana na uhalifu mkubwa wa aina mbalimbali na ukwepaji kodi mkubwa. Hili ni jimbo Mbowe kiongozi wa upinzani alitaka kuonekana kama ni mfalme.

Kwa maoni yangu wengi waliyotiwa kibano kwa kushukiwa na uhalifu au fujo za kisiasa wanamuona sabaya ndio adui na mtesi wao wakati wamehusishwa na uvunjaji wa sheria.

Serikali hii ya samia imeliendea kwa papara swala la sabaya kwa kufuata fitna za chuki. Kuna wapinzani wanaamini yeye ni mtu wao aliyekua chini ya magufuli hivyo wamemletea fitna za uongo.
Acha kulia lia humu hatakusaidia kitu. Peleka hoja zako Mahakamani hapo Arusha ili ukajue kipimo cha UJINGA wako.

Vitendo vya Sabaya ni uhalifu wake binafsi akitaka kujikomba kwa Mwendazake, period
 
Nimeona clip za video za baadhi ya watu wanaodai kuteswa na Sabaya. Zaidi ya madai yao hawaelezi wameteswa wapi na kwa sababu gani. Sabaya alikua Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya. Kwenye kamati hiyo wako wakuu wa vyombo vya ulinzi. Clip za Sabaya akienda kukamata au kupeleleza zinaonyesha wakikuta muhalifu anawakabidhi wahusika kisheria kushughulikia.

Usalama kwenye upelelezi hakuna asiejua wanatumia pia mbinu ya kumpiga au kumtesa mshukiwa kupata ushahidi. Kwenye jimbo la Hai Sabaya amepambana na uhalifu mkubwa wa aina mbalimbali na ukwepaji kodi mkubwa. Hili ni jimbo Mbowe kiongozi wa upinzani alitaka kuonekana kama ni mfalme.

Kwa maoni yangu wengi waliyotiwa kibano kwa kushukiwa na uhalifu au fujo za kisiasa wanamuona sabaya ndio adui na mtesi wao wakati wamehusishwa na uvunjaji wa sheria.

Serikali hii ya samia imeliendea kwa papara swala la sabaya kwa kufuata fitna za chuki. Kuna wapinzani wanaamini yeye ni mtu wao aliyekua chini ya magufuli hivyo wamemletea fitna za uongo.
Wewe uliambiwa wapi mkuu wa Wilaya mojawapo ya kazi yake ni kukamata na kutesa?

Uliambiwa wapi mkuu wa Wilaya anatafuta vielelezo?

Je kazi ya polisi na takukuru ni ipi?

Je kwa Nini hakutumia vyombo vilivyokua Chini yake badala yake kaajiri wezi wenzake ambao sio waajiriwa wa serikali kufanya kazi ya polisi, TRA na takukuru
 
Nimeona clip za video za baadhi ya watu wanaodai kuteswa na Sabaya. Zaidi ya madai yao hawaelezi wameteswa wapi na kwa sababu gani. Sabaya alikua Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya. Kwenye kamati hiyo wako wakuu wa vyombo vya ulinzi. Clip za Sabaya akienda kukamata au kupeleleza zinaonyesha wakikuta muhalifu anawakabidhi wahusika kisheria kushughulikia.

Usalama kwenye upelelezi hakuna asiejua wanatumia pia mbinu ya kumpiga au kumtesa mshukiwa kupata ushahidi. Kwenye jimbo la Hai Sabaya amepambana na uhalifu mkubwa wa aina mbalimbali na ukwepaji kodi mkubwa. Hili ni jimbo Mbowe kiongozi wa upinzani alitaka kuonekana kama ni mfalme.

Kwa maoni yangu wengi waliyotiwa kibano kwa kushukiwa na uhalifu au fujo za kisiasa wanamuona sabaya ndio adui na mtesi wao wakati wamehusishwa na uvunjaji wa sheria.

Serikali hii ya samia imeliendea kwa papara swala la sabaya kwa kufuata fitna za chuki. Kuna wapinzani wanaamini yeye ni mtu wao aliyekua chini ya magufuli hivyo wamemletea fitna za uongo.
Upande wa mashtaka, umepeleleza na unao ushahidi wa kuthibitisha pasi kuacha tuhuma dhidi ya Sabaya, kwa upande mwingine wewe unaongea kwa mtazamo wako tu ati na kutuhumu waliomshaki, "wamekurupuka".

Mahakama itaamua kisheria na Sabaya hana namna yoyote ya kutetewa isipokuwa kisheria tu.
 
I agree with you. Wazalendo kamwe hawajawahi kubaki salama katikati ya kundi la wabadhirifu na mafisadi. Kitendo cha Ole Sabaya kurejesha nidhamu na ulipaji makini wa kodi Hai na kuwaumbua wafanyabiashara wahujumu-uchumi ndicho kiini cha haya yote anayotendewa ili kumlipiza kisasi.
Halafu kuna mpumbavu kakupa like moja kwa upuuzi huu ulio comment hapa,kwa hiyo Rais Samia ni CHADEMA ndo maana kakubali Sabaya aonewe?
Nyie watu wa CCM huwa ni mavi mabichi ya mbwa koko... Ni wajinga na hakuna wa kuwalinganisha naye.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Upande wa mashtaka, umepeleleza na unao ushahidi wa kuthibitisha pasi kuacha tuhuma dhidi ya Sabaya, kwa upande mwingine wewe unaongea kwa mtazamo wako tu ati na kutuhumu waliomshaki, "wamekurupuka".

Mahakama itaamua kisheria na Sabaya hana namna yoyote ya kutetewa isipokuwa kisheria tu.
Mkuu, Mataga yanalia yanadai Rais Samia ni CHADEMA ndo maana Sabaya kakamatwa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
kweli bongo we dont have shortage of fools and idiots, simungoje upande wa masitaka ulete usahidi na nyinyi mataga wa mweda zake mulete wenu korti iamue, mama samia atawanyoosa nyinyi
Acha ujinga wee tumbo kubwa. Kama huna hoja bora ukae kimya. Of cause we don't have shortage of fools and idiots like you.
 
Acha ujinga wee tumbo kubwa. Kama huna hoja bora ukae kimya. Of cause we don't have shortage of fools and idiots like you.
Mjinga na bonge la Idiot Duniani ni wewe, stupid kabisa nyie watu,akikamatwa CCM kwa jinai kaonewa, akikamatwa CHADEMA mnashangilia, kwamba nyie ni malaika huwa hamkosei,jinga sana nyie watu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Mataga acheni kutumia makalio kufikiri.
Robbery kafanyia Arusha inahusikaje na Hai? Hiyo ndio itampiga mimba tulieni muone majambazi wakubwa nyie
ilifaa asikuibie hizo elfu 20 pekee.alitakiwa akukate rinda kabisa.maana akili huna.
 
Hawa watoto wa Pido hawawezi kukuelewa; hata ingetokea Ole Sabaya akawa hajatuhumiwa vyovyote vile, lakini kwa kuondolewa kwake wangeshangilia mchana kutwa na usiku kucha.

Si ajabu wameanza kumwandama Ally Happi. Shame!!!

Kwani Ally Happi naye ni mmoja wa wale wa miaka ya 80 aliowaongelea Mama wenye kumsumbua mwendazake?
 
Nimeona clip za video za baadhi ya watu wanaodai kuteswa na Sabaya. Zaidi ya madai yao hawaelezi wameteswa wapi na kwa sababu gani. Sabaya alikua Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya. Kwenye kamati hiyo wako wakuu wa vyombo vya ulinzi. Clip za Sabaya akienda kukamata au kupeleleza zinaonyesha wakikuta muhalifu anawakabidhi wahusika kisheria kushughulikia.

Usalama kwenye upelelezi hakuna asiejua wanatumia pia mbinu ya kumpiga au kumtesa mshukiwa kupata ushahidi. Kwenye jimbo la Hai Sabaya amepambana na uhalifu mkubwa wa aina mbalimbali na ukwepaji kodi mkubwa. Hili ni jimbo Mbowe kiongozi wa upinzani alitaka kuonekana kama ni mfalme.

Kwa maoni yangu wengi waliyotiwa kibano kwa kushukiwa na uhalifu au fujo za kisiasa wanamuona sabaya ndio adui na mtesi wao wakati wamehusishwa na uvunjaji wa sheria.

Serikali hii ya samia imeliendea kwa papara swala la sabaya kwa kufuata fitna za chuki. Kuna wapinzani wanaamini yeye ni mtu wao aliyekua chini ya magufuli hivyo wamemletea fitna za uongo.
SABAYA ata KWA mfuko mzima wa sabuni ya unga hasafishiki, bibi bia kule Arusha , amemuongezea laana kwa kuuza shamba la baba yake na kufanya wajukuu wake kuishi kwa shida

Avune alicho panda
 
Please jitahidi kuona aibu japo kidogo... Sabaya ni mchafu sana!
 
Nimeona clip za video za baadhi ya watu wanaodai kuteswa na Sabaya. Zaidi ya madai yao hawaelezi wameteswa wapi na kwa sababu gani. Sabaya alikua Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya. Kwenye kamati hiyo wako wakuu wa vyombo vya ulinzi. Clip za Sabaya akienda kukamata au kupeleleza zinaonyesha wakikuta muhalifu anawakabidhi wahusika kisheria kushughulikia.

Usalama kwenye upelelezi hakuna asiejua wanatumia pia mbinu ya kumpiga au kumtesa mshukiwa kupata ushahidi. Kwenye jimbo la Hai Sabaya amepambana na uhalifu mkubwa wa aina mbalimbali na ukwepaji kodi mkubwa. Hili ni jimbo Mbowe kiongozi wa upinzani alitaka kuonekana kama ni mfalme.

Kwa maoni yangu wengi waliyotiwa kibano kwa kushukiwa na uhalifu au fujo za kisiasa wanamuona sabaya ndio adui na mtesi wao wakati wamehusishwa na uvunjaji wa sheria.

Serikali hii ya samia imeliendea kwa papara swala la sabaya kwa kufuata fitna za chuki. Kuna wapinzani wanaamini yeye ni mtu wao aliyekua chini ya magufuli hivyo wamemletea fitna za uongo.
Huyu mama alikuwa mhalifu wa nini ?
 
Nimeona clip za video za baadhi ya watu wanaodai kuteswa na Sabaya. Zaidi ya madai yao hawaelezi wameteswa wapi na kwa sababu gani. Sabaya alikua Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya. Kwenye kamati hiyo wako wakuu wa vyombo vya ulinzi. Clip za Sabaya akienda kukamata au kupeleleza zinaonyesha wakikuta muhalifu anawakabidhi wahusika kisheria kushughulikia.

Usalama kwenye upelelezi hakuna asiejua wanatumia pia mbinu ya kumpiga au kumtesa mshukiwa kupata ushahidi. Kwenye jimbo la Hai Sabaya amepambana na uhalifu mkubwa wa aina mbalimbali na ukwepaji kodi mkubwa. Hili ni jimbo Mbowe kiongozi wa upinzani alitaka kuonekana kama ni mfalme.

Kwa maoni yangu wengi waliyotiwa kibano kwa kushukiwa na uhalifu au fujo za kisiasa wanamuona sabaya ndio adui na mtesi wao wakati wamehusishwa na uvunjaji wa sheria.

Serikali hii ya samia imeliendea kwa papara swala la sabaya kwa kufuata fitna za chuki. Kuna wapinzani wanaamini yeye ni mtu wao aliyekua chini ya magufuli hivyo wamemletea fitna za uongo.
Unazijua kazi za mwenyekiti wa ulinzi na usalama au umetoka kunywa ulanzi unaropoka tu?

Yeye akifanya upelelezi na kubana washukiwa, polisi idara upelelezi, watafanyakazi gani?
 
Back
Top Bottom