King Muhil III
New Member
- Jul 23, 2018
- 1
- 1
Baada ya mashindano ya kombe la dunia kumalizika ambapo tumeshuhudia Ufaransa na Croatia wakicheza fainali na hatimaye Ufaransa kutawazwa mabingwa wapya,Bila ubishi nakubali walistahili.
Kwa sasa pamekuwa na mijadala ya nani anastahili kutwaa Ballon D'or.Majina yanayokamata ni Ronaldo, Mbappe, Modric, Neymar, etc.
Nashangaa vipi Mo Salah na Messi kwa sasa ni kama wanasahaulika kwa kipindi kifupi tu tangu ligi ya ya mabingwa kumalizika miezi 2 tu iliyopita ambapo Ronaldo, Messi na Mo salah ndio waliokuwa wakitajwa zaidi.
Kwangu mimi Ligi ya mabingwa Ulaya ni ngumu kuliko world cup ambapo takribani mechi 7 tu tayari bingwa anapatikana tofauti ligi ya mabingwa ambapo inaenda hadi mechi 16.
Nini maoni yako juu ya nani anastahili kutwaa ballon d'or kwa kuzingatia sababu za kiufundi na kitakwimu na uzito wa mashindano kwa wachezaji hao..?
Kwa sasa pamekuwa na mijadala ya nani anastahili kutwaa Ballon D'or.Majina yanayokamata ni Ronaldo, Mbappe, Modric, Neymar, etc.
Nashangaa vipi Mo Salah na Messi kwa sasa ni kama wanasahaulika kwa kipindi kifupi tu tangu ligi ya ya mabingwa kumalizika miezi 2 tu iliyopita ambapo Ronaldo, Messi na Mo salah ndio waliokuwa wakitajwa zaidi.
Kwangu mimi Ligi ya mabingwa Ulaya ni ngumu kuliko world cup ambapo takribani mechi 7 tu tayari bingwa anapatikana tofauti ligi ya mabingwa ambapo inaenda hadi mechi 16.
Nini maoni yako juu ya nani anastahili kutwaa ballon d'or kwa kuzingatia sababu za kiufundi na kitakwimu na uzito wa mashindano kwa wachezaji hao..?
Last edited by a moderator: