Nani haswa anapaswa kuitwa na kutambuliwa kama "Genius"?

Nani haswa anapaswa kuitwa na kutambuliwa kama "Genius"?

Pamoja na kuleta mada nzuri,tangu siku 3 zilizopita,lakini inashangaza hakuna aliyekujibu,ngoja mimi nifanye kazi hi:Genius ni mtu yeyote ambaye ana uwezo mkubwa wa kutambua mambo kabla hayajajiri,hapa siamanishi eti ni mtabiri,ni mtu ambaye huwezi kamwe kuichezea akili yake,mwepesi wa kuelewa na kujifunza kwa uangalifu wa hali ya juu,mbunifu,jasiri,na anayeweza kufanya maajabu ya karne ktk jukumu lolote alilopewa!
 
Genius ni mtu mwenye uwezo mkali wa kuinterprate brain signals na kuzitengenezea picha kwa uharaka zaidi

Watu wengi wenye eidetic memory wanakuwa considered kama ma genius.Mtu kama Albert Einstein aliweza kutengeneza picha ya space-time continuum kichwani mwake

Nikolai Tesla hakuhitaji ku draft sketches za electromagnetic coils wakati ana design transformers.Jamaa ni alikuwa anaona picha ya coil nzima jinsi inavyozunguka na mapungufu yake kabla hajaitia karatasini.Ukisoma autobiography yake inaitwa "My Inventions" utaelewa ninachoongelea hapa

Magenius ni watu wenye high imagination capacity
 
Genius ni mtu mwenye uwezo
mkali wa kuinterprate brain signals na kuzitengenezea picha kwa uharaka
zaidi

Watu wengi wenye eidetic memory wanakuwa considered kama ma genius.Mtu
kama Albert Einstein aliweza kutengeneza picha ya space-time continuum
kichwani mwake

Nikolai Tesla hakuhitaji ku draft sketches za electromagnetic coils
wakati ana design transformers.Jamaa ni alikuwa anaona picha ya coil
nzima jinsi inavyozunguka na mapungufu yake kabla hajaitia
karatasini.Ukisoma autobiography yake inaitwa "My Inventions" utaelewa
ninachoongelea hapa

Magenius ni watu wenye high imagination capacity
kumbuka kuna mstari mwembamba unaotenganisha genius na chizi japo sina hakika kama opposite ya genius ni chizi kwa kiswahili
 
angalia mfano hai ktk darasa lako wale waliokua na akili sana wameishia kuishi maisha ya kawaida sana tena labda maisha duni wale waliokua na akili wastani chek wengi wametoka kimaisha........mf tu
 
kumbuka kuna mstari mwembamba unaotenganisha genius na chizi japo sina hakika kama opposite ya genius ni chizi kwa kiswahili

Ni kweli mkuu.Wengi wao wanaishia kuwa na Obsessive Compulsive Disorder(OCD)

Tesla alikuwa obssesed na namba tatu.Kila kitu alichokuwa anafanya lazima akirudie mara tatu.Kabla ya kuingia apartment kwake alikuwa anazunguka nyumba mara tatu.Shuka lake la kulala alikuwa anazungusha mara tatu

Einstein yeye picha hapo chini inajieleza vizuri uchizi wake.Huwezi kudhani kuwa huyu ndo kagundua ground breaking physics

einstein-tongue-out.jpg
 
Nadhani ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko uwezo wa kiwango cha kawaida
 
Genius ni mtu mwenye suluhisho wa mambo ama jambo ambalo mtu wa kawaida hawezi kutekeleza... Moreover, Genius Hutumia akili yake kufikiria na kutatua complex issues kwa njia rahisi sana ...ma - genius wengi wazazi wao walikuwa na lishe bora kuanzia wakati wa mimba na miaka miwili ya kunyonyeshwa maziwa yenye virutubisho muhimu kutoka kwa mama! Inasemekana Africa kuna Genius wengi sana ila waliharibiwa na utapi wa Mlo pamoja na Sindano nyingi zikiwemo chanjo ya ndui!! Inasemekana watoto wengi waliozaliwa miaka ile ya unga wa yanga hawana akili kwani hawakupata virutubisho muhimu! Sasa hivi wanasema kuwa watoto hawana akili kutokana na life style yetu ya ulevi na kula vyakula vya supermarket ...
 
Genius ni mtu mwenye uwezo mkali wa kuinterprate brain signals na kuzitengenezea picha kwa uharaka zaidi

Watu wengi wenye eidetic memory wanakuwa considered kama ma genius.Mtu kama Albert Einstein aliweza kutengeneza picha ya space-time continuum kichwani mwake

Nikolai Tesla hakuhitaji ku draft sketches za electromagnetic coils wakati ana design transformers.Jamaa ni alikuwa anaona picha ya coil nzima jinsi inavyozunguka na mapungufu yake kabla hajaitia karatasini.Ukisoma autobiography yake inaitwa "My Inventions" utaelewa ninachoongelea hapa

Magenius ni watu wenye high imagination capacity

Naweza kupata documents zinazoelezea details zako?
 
Mi namjua jamaa Fulani tulikuwa tunasoma huyu jamaa toka form one alikuwa anatoongoza tena kwa arama za juu kabisa masomo yote huyohuyo aliiongoza katika matokeo ya form four na form six bado pale udsm aliongoza kitivo cha physics sasa hivi yupo Norway kwenye kampuni ya madini kama senior enginner
 
Hivi kwa Uhalisia genius Wanafaa Kuongoza Nchi Ili Kuweza Kuleta Maendeleo Kutokana Na Uwezo Wao Wa Kuwa Na IQ Kubwa
 
Genius wengi c wazuri kwny uongozi mara nyingi historia inaonyesha kuwa wengi wao ugeuka madikteta hatari sana.kwa mfano bokassa wa afrika ya kati,mugabe,mao nk
 
Back
Top Bottom