Nani haswa anapaswa kuitwa na kutambuliwa kama "Genius"?

Nani haswa anapaswa kuitwa na kutambuliwa kama "Genius"?

Ni kweli mkuu.Wengi wao
wanaishia kuwa na Obsessive Compulsive Disorder(OCD)

Tesla alikuwa obssesed na namba tatu.Kila kitu alichokuwa anafanya
lazima akirudie mara tatu.Kabla ya kuingia apartment kwake alikuwa
anazunguka nyumba mara tatu.Shuka lake la kulala alikuwa anazungusha
mara tatu

Einstein yeye picha hapo chini inajieleza vizuri uchizi wake.Huwezi
kudhani kuwa huyu ndo kagundua ground breaking physics

einstein-tongue-out.jpg

Nimecheka sana.So Genius ni kilema.
 
Nani haswa anaweza kunipa idea ya kilimo kwanza vizuri na kama ana mchanganuo pouwa...

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ningependa kupata michango kutoka kwenu great thinkers.Nani haswa anapaswa kupewa sifa hiyo ya u genius?


Hii topic imenikumbusha dogo mmoja mwanza miaka ya tisini mwishoni maeneo ya mirongo alikuwa mtundu mtundu alikuwa anatengeneza madish na vitu vya umeme mbalimbali mara nyumba za kwenye miti betrii za malimao. funga kazi alitengeneza full recoil rifle kwa vipande vya bomba, springi na mipira ya gari. Ganda la risasi ilikuwa ni yale mabomba ya kupitishia gesi kwenye friji yamekatwa kwa ufundi na kujazwa baruti za diwali. Kitu kilivyotestiwa hakubaki mtu si mashaka geto wala Muvani tulisambaaa wote. Sijui alipotelea wapi lakini nadhani ukikutana na genius utamjua tu, hawa jamaa huwa wanafikiri nje ya uwezo wwaa mtu wa kawaida huyu dogo alikuwa darasa la sita au saba kama sijakosea wakati huo..
 
Kwa lugha nyepesi genius ni mtu mwenye uwezo wa kiakili (mental ability) wa kiwango cha juu, unaofanya jambo la kiakili kwa haraka, kwa usahihi wa kiwango cha juu na ambao wengine wengi hawawezi kufanya hivyo.
 
Etymologically speaking, mzizi wa neno "genius" unaturudisha kwenye neno la Kiswahili lililotoholewa kutoka kiarabu "jini".

Mtu anayefaa kuitwa "genius" ni yule.mwenye uwezo usio wa kibinadamu, unaofananishwa na uwezo wa jini.
 
Hii topic imenikumbusha dogo mmoja mwanza miaka ya tisini mwishoni maeneo ya mirongo alikuwa mtundu mtundu alikuwa anatengeneza madish na vitu vya umeme mbalimbali mara nyumba za kwenye miti betrii za malimao. funga kazi alitengeneza full recoil rifle kwa vipande vya bomba, springi na mipira ya gari. Ganda la risasi ilikuwa ni yale mabomba ya kupitishia gesi kwenye friji yamekatwa kwa ufundi na kujazwa baruti za diwali. Kitu kilivyotestiwa hakubaki mtu si mashaka geto wala Muvani tulisambaaa wote. Sijui alipotelea wapi lakini nadhani ukikutana na genius utamjua tu, hawa jamaa huwa wanafikiri nje ya uwezo wwaa mtu wa kawaida huyu dogo alikuwa darasa la sita au saba kama sijakosea wakati huo..

Baada ya kusoma hii coment sidhani kama usingizi utarudi maana nimecheka sana. Baada kitu kutestiwa......hahahaha. All in all huyo dogo ni genius na kama hakuendelezwa tutakuwa tumemkosa mtu muhimu sana Tanzania.
 
Hii topic imenikumbusha
dogo mmoja mwanza miaka ya tisini mwishoni maeneo ya mirongo alikuwa
mtundu mtundu alikuwa anatengeneza madish na vitu vya umeme mbalimbali
mara nyumba za kwenye miti betrii za malimao. funga kazi alitengeneza
full recoil rifle kwa vipande vya bomba, springi na mipira ya gari.
Ganda la risasi ilikuwa ni yale mabomba ya kupitishia gesi kwenye friji
yamekatwa kwa ufundi na kujazwa baruti za diwali. Kitu kilivyotestiwa
hakubaki mtu si mashaka geto wala Muvani tulisambaaa wote. Sijui
alipotelea wapi lakini nadhani ukikutana na genius utamjua tu, hawa
jamaa huwa wanafikiri nje ya uwezo wwaa mtu wa kawaida huyu dogo alikuwa
darasa la sita au saba kama sijakosea wakati huo..

Dah dogo kwel ni Genius
 
Kila mtu ni genius kutegemea kwa vitu gani. Mfano wachawi wote ni magenius.
 
jiziaz ni yule anapokuwa kwenye fani yake anaimudu kwa kiwango cha juu. iwe elimu, usanii(Mf. kuchora),ufundi, n.k.
japo kuna wale majiniaz wanaotokana na kukomaa sana(mfano kusma sana) lakini kwa ujumla haiwazuii kitwa jiniaz.
 
Back
Top Bottom