Non theists and Muslims both denies God.
How?I'm a muslim.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Non theists and Muslims both denies God.
What does "LA ILAHA" means?How?I'm a muslim.
..........ndio nn sasa hii si historia tu,.....Mi namjua jamaa Fulani tulikuwa tunasoma huyu jamaa toka form one alikuwa anatoongoza tena kwa arama za juu kabisa masomo yote huyohuyo aliiongoza katika matokeo ya form four na form six bado pale udsm aliongoza kitivo cha physics sasa hivi yupo Norway kwenye kampuni ya madini kama senior enginner
angalia mfano hai ktk darasa lako wale waliokua na akili sana wameishia kuishi maisha ya kawaida sana tena labda maisha duni wale waliokua na akili wastani chek wengi wametoka kimaisha........mf tu
Genius ni mtu mwenye IQ zaidi ya 110
angalia mfano hai ktk darasa lako wale waliokua na akili sana wameishia kuishi maisha ya kawaida sana tena labda maisha duni wale waliokua na akili wastani chek wengi wametoka kimaisha........mf tu
Mi namjua jamaa Fulani tulikuwa tunasoma huyu jamaa toka form one alikuwa anatoongoza tena kwa arama za juu kabisa masomo yote huyohuyo aliiongoza katika matokeo ya form four na form six bado pale udsm aliongoza kitivo cha physics sasa hivi yupo Norway kwenye kampuni ya madini kama senior enginner
Genius wapo kama mimi ni-PM nikupe CV yangu.
..........ndio nn sasa hii si historia tu,.....
Genius huitumia vyema milango yake ya faham kuan mwalim wangu mmoja aliniambia mtu mwenye akili za kawaida anaweza kuwa genius akaniambia
Chukua mfano wa mtu wa kawaida mtu anaweza kupiga pushup tano ila akajitahid akafikia saba na kama ataendelea kujizoweza ataweza piga pushup hadi masaa mawili bila ya kupumzika huyu tayar uwezo wake wa misuli na pumz utakuwa unawastaajabisha wengi
Kifupi hata mtu kama ataamua kufanyia mazoezi akili yake ipasavyo atafikia kipindi uwezo wake utakuwa wa ajabu na hapo atafaa kuitwa genius
Everybody is a genius but if you judge a fish by its ability to climb a tree,it'll live all its life believing that it's stupid-Anonymous
I'm the definition of genius sema kuzaliwa bongo nako nuksi tu mtu huendelezwi kwenye mlengo wako.
Mfumo wa elimu uko hostile kwetu.
kumbuka kuna mstari mwembamba unaotenganisha genius na chizi japo sina hakika kama opposite ya genius ni chizi kwa kiswahili
shukrani mkuu kwa kuweka mambo sawa.Uyo ni Albert Einstein.... Genius wa kizazi hiki