van_kassim
Member
- Sep 14, 2014
- 23
- 8
hivi apa tz genius ni nan na nan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachosema kina ukweli, mi nilisoma na jamaa genius kweli, muda mwingi anasoma vitabu, akiwa anatembea anatikisa kichwa huku akicheka, ukijaribu kubishana nae atakupa evidence mpaka una dhalilika, watu walikuwaga wanamuona kichaa, mtihani wa form 6 alipata 0,lakin ajabu darasani ndo alikuwa anawafundisha. Mambo ya ajabu kweli. Lakin sio vichaa wote ni ma genius. Vice versa is truekumbuka kuna mstari mwembamba unaotenganisha genius na chizi japo sina hakika kama opposite ya genius ni chizi kwa kiswahili
Nikola Tesla is the true unsung prophetof the electronic age; without whom our radio, auto ignition, telephone, alternating current power generation and transmission, radio and television would all have been impossible. Yet hislife and times have vanished largely from public accessGenius ni mtu mwenye uwezo mkali wa kuinterprate brain signals na kuzitengenezea picha kwa uharaka zaidi
Watu wengi wenye eidetic memory wanakuwa considered kama ma genius.Mtu kama Albert Einstein aliweza kutengeneza picha ya space-time continuum kichwani mwake
Nikolai Tesla hakuhitaji ku draft sketches za electromagnetic coils wakati ana design transformers.Jamaa ni alikuwa anaona picha ya coil nzima jinsi inavyozunguka na mapungufu yake kabla hajaitia karatasini.Ukisoma autobiography yake inaitwa "My Inventions" utaelewa ninachoongelea hapa
Magenius ni watu wenye high imagination capacity
Nikola Tesla is the true unsung prophetof the electronic age; without whom our radio, auto ignition, telephone, alternating current power generation and transmission, radio and television would all have been impossible. Yet hislife and times have vanished largely from public access
Je Tundu lissu nae tunaweza mgroup kwenye kundi hili??
Je Tundu lissu nae tunaweza mgroup kwenye kundi hili??
That is true comrade.One of the reasons of his supposed "banishment" from the scientific world was his eccentric character near the end of his life
In his late years he grew more weird/crazy/mad postulating propostrous theories such free energy and wireless transmission of electricity
But now scientists are starting to understand him even re-discovering and proving his wireless transmission of electricity hypothesis
This article is intresting
ukiona mtu amesoma shule halafu anawaponda wale waliokuwa wanaongoza darasani kuwa ati maisha yao huwa si ya mafanikio ujuo jamaa alikuwa anashika mkia darasani. mbona jamani watu wengi waliokuwa wanaogoza darasani hakuna hata mjinga mmoja anayezagaa mtaani? na mfano mimi niliongoza sana na hadi leo maisha yangu mazuri kuliko wale mazuzu waliokuwa wanashika mkia. kumbe huwa mna hasira sana na sisi tunapowaburuta ehee.poleni.
Maneno yako ni kweli kabisa...mimi nilisoma na GENERAL wa sasa wa jeshi letu kuanzia 1967 to 1970 tukiwa wanafunzi140.Huyu Mkuu alikuwa akishika Namba MOJA from day one mpaka tunamaliza form four.