Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
magenius wote wakali wa dunia hawakusoma shule kama isaac newton na wengine so kuwa na iq kubwa kusiwe kigezo cha kuonekana genius wakati uswahilini kuna watu wanaupeo wa kuvumbua vitu kuliko walioko darasani
Jini ndio nani!? kwani kuna majini!?Etymologically speaking, mzizi wa neno "genius" unaturudisha kwenye neno la Kiswahili lililotoholewa kutoka kiarabu "jini".
Mtu anayefaa kuitwa "genius" ni yule.mwenye uwezo usio wa kibinadamu, unaofananishwa na uwezo wa jini.
The person who can say In Jesus Name rise up and walk, and a dead person will rise up and walk. That is some serious stuff.Ningependa kupata michango kutoka kwenu great thinkers.Nani haswa anapaswa kupewa sifa hiyo ya u genius?
Jini ndio nani!? kwani kuna majini!?
Wewe umetumia in which context!? mpaka uka conclude Jini ana uwezo usio wa kibinadamu!? Sasa nataka kwa hiyo context uliyotumia... Sasa ndio nataka kujua jini ni nani!?In which context?
Scientific, mythological or religious?
Naweza kupata documents zinazoelezea details zako?
Wewe umetumia in which context!? mpaka uka conclude Jini ana uwezo usio wa kibinadamu!? Sasa nataka kwa hiyo context uliyotumia... Sasa ndio nataka kujua jini ni nani!?
Non theists and Muslims both denies God.Wewe umetumia in which context!? mpaka uka conclude Jini ana uwezo usio wa kibinadamu!? Sasa nataka kwa hiyo context uliyotumia... Sasa ndio nataka kujua jini ni nani!?