Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu mkuu, si wote bali wengi ndio wako hivyo. Kisha lete mrejesho.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh mkuu mbona unanitisha sana mana nipo kanda ya ziwa pande za musoma nimetoa nina kama wiki ila mbona umenikatisha tamaa sana ya kutafuta demu mana nina aleji na demu gogo
Sawa mkuu nipe mda kidogo mana nina wiki tu maeneo aya nitaleta mrejesho soonJaribu mkuu, si wote bali wengi ndio wako hivyo. Kisha lete mrejesho.
Yah makelele, migugumio ndiyo kuenjoy kwenyewe acha watu waenjoy life is too short mkuu😀wanagugumia hee! nyie mnapiga mayowee! mpaka kwa jirani! wanasikia maweeee!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku ukikutana na mauno ya kukun'guta siafu ndo utajua hujui [emoji23]
R,I,P, khumbu
Nimenenepa nimekua mvivu nachambwajee lol! [emoji23]
Tukutane inbox tafadhali.Kwani hupendi mauno mkuu? Sidhani kama wote wanafundishwa bana ila mpaka mtu anakata viuno mi naona ni kutokana na ile feeling anayoipata kwa muda huo wa tendo. Ni kama hutokea automatically hivi.
Pia kuna hizi stories "usiwe kama gogo jitume! So mtu anaona kujituma ni pamoja na kuyarudi mauno zaidi.
Mkuu hilo ni tangazo tu ila yaliyomo hayamo😀😀 Gogo plusðŸ¤Tukutane inbox tafadhali.
Msuguano au friction ya kuigiza na kutoa ndo inaleta utamu sio kukatika kama unataka kuikata. 😂😂
financial servicesMkuu hilo ni tangazo tu ila yaliyomo hayamo[emoji3][emoji3] Gogo plus[emoji2960]
nakubali nakubali 😂😂😂😂Msuguano au friction ya kuigiza na kutoa ndo inaleta utamu sio kukatika kama unataka kuikata. 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Siku ukikutana na mauno ya kukun'guta siafu ndo utajua hujui [emoji23]
R,I,P, khumbu
Jiandae kuachwaNimenenepa nimekua mvivu nachambwajee lol! [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hilo ni tangazo tu ila yaliyomo hayamo[emoji3][emoji3] Gogo plus[emoji2960]
eeeeh unaelewa shooooshooKama nakuelewa hivi....
Siku hizi hakuna Cc!?Nimenenepa nimekua mvivu nachambwajee lol! [emoji23]
Nani alokufundisha kugegeda?Salaam
Kukatika ni sanaa nzuri sana imfurahishayo mwanaume wakati akila tunda. Miaka ya nyuma sanaa hii ilikua inafundishwa na watu maalum kwa baadhi ya makabila.
Kwa sasa inafanywa na wasichana na wanawake wa makabila yote tena bila kupitia mafunzo hayo yaliyokuwa yakitolewa kwa wasichana maalum, mahali maalum na kwa vipindi maalum.
Sasa siku hizi ukibahatika kupata baadhi ya wasichana/wanawake kutoka kabila lolote wengi wanaijua Sanaa hii vizuri sana tu. Hususan wasichana wangi Kati ya miaka 19 na kuendelea..
Tena wanajua kwa viwango vya juu Sana.
Je, wanafundishwa na nani?
Wanafundishiwa wapi?