Hope wahusika wataiona hiyo clip na hao jamaa watachukuliwa hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria kama ilivyokua kwa wale wa mambo ya ndani walivyomtesa yule jamaa kipindi kile.
Ukipona hapo unarudi kuipiga petrol nyumba maumivu mpate woteSiyo wote wanauweza hivyo mkuu
Huwezi elewa maana una upeo mfinyu, uwezo duni wa akili.Codes zako kuruti haziungi Dot
Kumbe Polisi wa Tanzania wanafira? We unaona kosa la utapeli ni kubwa kiasi cha binadamu kupewa kipigo bila mpangilio?Lawama zipi mzee we pambana tu kiume ila ujue watakufirigisa vibaya mno kama huna skills za kupigana [emoji23][emoji23][emoji23] yani utarusha ngumi mbili 3 ila kinachofata wakikubana watakufirra
We hijui kuwa hata kumdhambulia mtu ni kukitafutia matatizo? Unakumbuka wale maafisa wa Uhamiaji walio mdhalilisha tapeli? wako wapi leo!Hahaha tujitahidi kutokutafuta matatizo yanayoepukika
Sishabikii wizi ila tofauti ya wizi wa kifisadi na utapeli wa tuma kwenye namba hii ni kwamba ule ufisadi ni hela za serikali ambazo hazina mwenyewe na zinaweza kubadilisha maisha ya hakimu na vibaraka wake ndani ya sekunde chache mno endapo watakaa chini na kukubali kumegewa fungu dogo tu na ndio maana huoni mafisadi wakipigwa virungu wala kuchomwa moto!Kumbe Polisi wa Tanzania wanafira? We unaona kosa la utapeli ni kubwa kiasi cha binadamu kupewa kipigo bila mpangilio?
Ungejua makosa ya viongozi wa CCM walio madarakani na huo wizi wao wa mabilioni ya fedha za umma ambazo zingeweza kuokoa maisha ya watu wengi wanaokosa tiba kwa serikali kukosa pesa basi ungesema wachomwe moto kabisa.
Lakini usikute hao unawashabikia bila kujua.
Ile ajali kazini tuWe hijui kuwa hata kumdhambulia mtu ni kukitafutia matatizo? Unakumbuka wale maafisa wa Uhamiaji walio mdhalilisha tapeli? wako wapi leo!
Kule mkoani X kuna nyakati unyama ulikuwa unafanyika kuchuna binadamu ngozi, sijawahi kusikia unyama wa namna hii katika maisha yangu.Hao ndio watu waliopo Tanzania. Roho mbaya, katili, wasiojali na kuthamini utu wa mtu.
Hiyo ndiyo legacy pekee aliyotuachia Mwendazake
Hata kama jamii moja siyo sawa kumpiga hivyo. Kama amekosa wampeleke kwenye vyombo vya sheria.Ukimsikiliza anaepigwa inaonekana ni jamii moja na wanaompiga.
Yupo zakaria na gari zake zinapiga kaziBora kufa kishujaa kama muraa wa Tarime aliyempoteza mmoja wa wasiojulikana waliotumwa kummaliza akawaahi wakaomba po.
Hueleweki dada
KuHuwezi elewa maana una upeo mfinyu, uwezo duni wa akili.
Ukisikia OP kinachokujia akilini mwako ni uzezeta uliokupotezea muda enzi unatafuta maisha ukaenda kupigika miaka3 ili uajiriwe.
'Joint operation' ni operation ya pamoja inayofanywa kwa ushirikiano wa vyombo mbalimbali na huko ndipo nilipomfaham huyo jambazi mwenzako anayetandika huyo mtu, pole kwa kupoteza muda wako jkt na kukosa ajira mdogo wangu, lawama zako zipeleke kwa marehemu pom
Kumbe nawe jambazi tu, unajuana na watesi wenzio ila najua ndo mbinu zenu za kuvuta mshiko kwa wananchi eti afande Mimi najua wewe ni Askari siyo afande na ndo maana ulitumwa kwenda joint op Kisha upeleke jibu kwa afande acha hizo mnashindwa kifanya interrogation mnapiga mpaka kuua wafikishie ujumbe wenzio kuwa zama zimebadilikaHuwezi elewa maana una upeo mfinyu, uwezo duni wa akili.
Ukisikia OP kinachokujia akilini mwako ni uzezeta uliokupotezea muda enzi unatafuta maisha ukaenda kupigika miaka3 ili uajiriwe.
'Joint operation' ni operation ya pamoja inayofanywa kwa ushirikiano wa vyombo mbalimbali na huko ndipo nilipomfaham huyo jambazi mwenzako anayetandika huyo mtu, pole kwa kupoteza muda wako jkt na kukosa ajira mdogo wangu, lawama zako zipeleke kwa marehemu pombe
Siyo kwa mijeledi kama hiyo wallahUkipona hapo unarudi kuipiga petrol nyumba maumivu mpate wote
Mmoja wa wasiojulikana wa ishu ile yupo kuzimu.Kawahi yeye mlengwa kabaki.
Ni kweli mkuu huyo anaweza kuwa tapeli anatumia mwamvuli wa kujifanya mtu wa usalama.Ukisiliza ni kama wasiojulikana wanamsurubu mtu aliyejifanya kuwa nae ni miongoni mwa wasiojulikana, kauli ya jamaa "wanakera hawa wanafanya polisi watufikirie sisi huku kumbe ni hawa jamaa" kauli hii imebeba code ya utambulisho wa wahusika[emoji23]
Sio gari tu hata sura zao zinaonekana ikiwa pamoja na huyo anaesurubiwa.Hii picha akiiona Mama, kuna mtu hana ajira. na ni rahisi kuwatambua wote kwa sababu Namba ya gari iliyopark inasomeka vizuri
Aiseee haujaibiwa wewe mm nkikamata mwizi au tapeli kwa jinsi walivonfanyia Bora nkaoze gerezani ...siwezi tetea mwizi mimiKumbe Polisi wa Tanzania wanafira? We unaona kosa la utapeli ni kubwa kiasi cha binadamu kupewa kipigo bila mpangilio?
Ungejua makosa ya viongozi wa CCM walio madarakani na huo wizi wao wa mabilioni ya fedha za umma ambazo zingeweza kuokoa maisha ya watu wengi wanaokosa tiba kwa serikali kukosa pesa basi ungesema wachomwe moto kabisa.
Lakini usikute hao unawashabikia bila kujua.
Kama huyo mtu amefanya kosa, kuna sheria na kanuni za namna gani ashughulikiwe kwa mujibu wa utaratibu, lakini si kupiga kama unaua nyoka, wachukuliwe hatua!