Khhhaaa!!!Dah shetani ananiita walai Mungu anisaidie tu nisielekee uhindini
Waliokuja Pm ambao wana uhitaji, nimewapa namba.Toa namba sasa, au nyuma ya UCC?
Hiyo package ya dady care mna huduma ya boarding?Waliokuja Pm ambao wana uhitaji, nimewapa namba.
Karibu
Aasa hapa si tunategana?hapo akikwambia ongeza elfu 50 utapata papuchi utakataa kweli?
Kuna studio room hapa, special kwa wanaokaa siku zaidi ya 3.Hiyo package ya dady care mna huduma ya boarding?
Nna safari ya wiki, nataka niwaachie mme wangu hapo....
Nenda na fedha kiasi tu, wallet acha home.Aasa hapa si tunategana?hapo akikwambia ongeza elfu 50 utapata papuchi utakataa kweli?
Nimetuma PM ninasubiri miongozo.Waliokuja Pm ambao wana uhitaji, nimewapa namba.
Karibu
Kama utakuwa na wasiwasi, unaweza kuja na wifi akusindikize na ashuhudie jinsi tunavyokuhudumia ili kuzima ule uvumi wa kuwa massages center ni nusu danguro ila tu asiwe na jazba.Thanks
Nazijibu taratibu.Nimetuma PM ninasubiri miongozo.
Hapana mie nataka unihudumie wewe tu ntakuja mwenyewe au kama utahofia basi tutapata wasaa wa huduma hio katika mazingira ya hotelini uje na vifaa tu!Kama utakuwa na wasiwasi, unaweza kuja na wifi akusindikize na ashuhudie jinsi tunavyokuhudumia ili kuzima ule uvumi wa kuwa massages center ni nusu danguro ila tu asiwe na jazba.
Oooh! Hapo sawa nilikuwa na wasiwasi labda text yangu imepotea. Hongera ni dalili njema ya biashara bossNazijibu taratibu.
Mko wengi sana huko Pm mkuu.
Usiwe na wasiwasi
Asante mkuu.Oooh! Hapo sawa nilikuwa na wasiwasi labda text yangu imepotea. Hongera ni dalili njema ya biashara boss
Wivu tena? Si namuacha ofisini jamani au mtamfanya nini huko?Kuna studio room hapa, special kwa wanaokaa siku zaidi ya 3.
Mlete shemeji afurahie 'kucheza nje ya nyumbani'.
Huduma zetu ni bora na zinafaa kwa rika lote.
...halafu kwanini unamuacha wiki, huna wivu shoga?
Huku hachinjwi, bali anapata huduma zote pamoja na 'free wifi'.Wivu tena? Si namuacha ofisini jamani au mtamfanya nini huko?
Duuhhh aisee kweli mjini kuna raha.Kulea wanaume ambao wake zao wakorofi siku za weekend.
Unajua wanaume wengi siku za Jumamosi na Jumapili hawaendi kazini hivo hushinda nyumbani.
Sasa katika hao kuna baadhi wake zako ni wakorofi na wana midomo sana wakishinda nao nyumbani.
sa sisi tunachofanya ni kushinda na mume wa mtu siku nzima na pia kupatiwa huduma mbalimbali sawia na zile za kwa mkewe.
Karibu.
Wew umejibu kidini zaidi ndio maana hujapata likes nyingiKwa maelezo hayo ,hizo massage houses nyingi kwa ajili ya biashara ya ukahaba.Halafu serikali imemute kabisa , ni kazi za uzalilishaji wa dada zetu,sina uhakika kama wale wahudumu wanafanya zile extra service za kishenzi wilingly,zaidi tu ni sawa na biashara za utumikishaji wa kingono ikiwa unataka massage sahihi fanyiwa na your same sex au your spouse
Washindwe hao wanaoleta utani kwenye biashara za watu. Ninasubiri PM ndio nilale.Asante mkuu.
Japo wengi wengineo huja kufanya utani najua.
Ila wenye uhitaji, watafurahi na huduma
@ nyani ngabu uje uende hukuHuku hachinjwi, bali anapata huduma zote pamoja na 'free wifi'.
Mlete asije kosa nafasi.
Sana mkuu.Duuhhh aisee kweli mjini kuna raha.
Mpwa, usijali.Washindwe hao wanaoleta utani kwenye biashara za watu. Ninasubiri PM ndio nilale.