Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Kwa maelezo hayo ,hizo massage houses nyingi kwa ajili ya biashara ya ukahaba.Halafu serikali imemute kabisa , ni kazi za uzalilishaji wa dada zetu,sina uhakika kama wale wahudumu wanafanya zile extra service za kishenzi wilingly,zaidi tu ni sawa na biashara za utumikishaji wa kingono ikiwa unataka massage sahihi fanyiwa na your same sex au your spouse
Haya tuma salamu kwa watu watatu.
 
Hongera Sana!! Weka bei elekezi.
Asante sana King Kong III
Bei zetu utazikuta ofisini pamoja na Pm.
Tunafanya hivi kwa sababu ya kibiashara zaidi.
Zipo Massage center nyingi huwa wanachukua mawazo ya center ingine na kuyapeleka kwao ili kuboresha, hatukatai ila na wao wajiongeze kuumiza kichwa katika kujiongezea ujuzi
 
samahani wakuu hivi hayo yote yanafanyika shetani anakuwa amesimamia upande gani wa mteja au wa muhudumu ? nimefikiria sana sijapata jibu
 
Hahahaha mkuu haujui ya kwamba kuna watu hua wanapenda mikosi na umasikini ?
Hua kuna misemo yao ya kufarijiana wanasema raha na utajiri vya nini na wakati tunakufa hahahahah

Yaani hawa watu ni kuwaptezea tu yaani. Mimi tokea nigundue kula maisha Mwili wangu umenenepa na ninaambiwa na wadada nimenoga nimekuwa na mvuto. Kwanini nisile raha…!
Maisha ni haya haya Mkuu.
 
Mkuu mikosi haikwepeki. Unaweza kuipata popote mfano kwenye daladala unakaa siti moja kahaba limetoka kugegedwa, unakaa siti moja na Sangoma, unakaa siti moja na mchawi.

Au mwenza wako alidate ama anadate na mlozi, mwizi ama mwenye mapepo.

Unaingia dukani kwa mkinga ama mangi nje kaweka ndondocha. Vyoote hivyo vinaleta mikosi.

Na mwisho waweza kuwa umeoa/umeolewa na mtu aliyeachiwa uchawi na bibi/babu zake kwa njia ya tambiko ama manuizo tu bila ya yeye kujua.

Huwezi pata laana kwa kutokana na hayo uliyoyataja kwa sababu intention ya kufanya hivyo haikuwepo, sasa mtu anataka massage ila na ngono juu si unaona kabisa huyu shida yake si massage ila ni uzinzi. Amejatibu ku imagine ikipata huduma hiyo anayoitaka ni wangapi wamepewa na hiyo akutanae nae? Hiyo ni kumtafuta lawama tu Mwenyezi Mungu.
 
Kwa maelezo hayo ,hizo massage houses nyingi kwa ajili ya biashara ya ukahaba.Halafu serikali imemute kabisa , ni kazi za uzalilishaji wa dada zetu,sina uhakika kama wale wahudumu wanafanya zile extra service za kishenzi wilingly,zaidi tu ni sawa na biashara za utumikishaji wa kingono ikiwa unataka massage sahihi fanyiwa na your same sex au your spouse

Kibongo bongo massage houses nyingi ni madanguro tu hicho kingine ni kama geresha
 
Kuna ile ambayo wewe unakuwa uchi halafu unalala kifudifudi, halafu Mlimbwende anaekufanyia masaji nae anakuwa uchi kisha anateleza kama samaki mgongoni kwako.

Jamani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Location ni Uhindini karibu na Chef Asili mkuu.
Ila ni sehemu ambako huwezi kuiona mpaka mwenyeji wa pale akuelekeze.
Huwa tunatoa huduma aitakayo na aipendayo mteja.
Na vilevike tunatoa huduma ya 'Dady care'
Ebu tufafanulie kidogo dady care ndiyo ipo je
 
Hakika hawa watu wanahitaji kubadilisha mafikirio, Yaani mijitu kama hii inakuwa inawaza mikosi tu badala ya kula Maisha. Maisha menyewe tu yamejaa mabalaa alfu unakuja unakataa ofa ya Kula Raha, Kama sio Upumbavu ni nini ?
Si ndio hapo!

Maisha yenyewe mafupi haya.

Mtu inabidi ufurahie Maisha yako unayoishi, Maisha yenyewe ndio haya haya
 
Kuna ile ambayo wewe unakuwa uchi halafu unalala kifudifudi, halafu Mlimbwende anaekufanyia masaji nae anakuwa uchi kisha anateleza kama samaki mgongoni kwako.

Jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniiiii
 
Back
Top Bottom