Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Kwa maelezo hayo ,hizo massage houses nyingi kwa ajili ya biashara ya ukahaba.Halafu serikali imemute kabisa , ni kazi za uzalilishaji wa dada zetu,sina uhakika kama wale wahudumu wanafanya zile extra service za kishenzi wilingly,zaidi tu ni sawa na biashara za utumikishaji wa kingono ikiwa unataka massage sahihi fanyiwa na your same sex au your spouse
Your same sex umemaanisha me kwa me na ke kwa ke. Yaani watu wale macho na kusagana
 
IMG_20210710_034805_992.JPG
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna Evelyn Salt kule Twitter Republic ME wanamkimbia kwa sababu anawazodoa ile mbaya hahahahahaha halafu kaandika anaishi Kinondoni. Anayoandika kule huyo ES angeandika hapa ni BAN ya milele [emoji23][emoji23]
Hebu skrinshot utuletee hapa[emoji28][emoji28]
 
Kulea wanaume ambao wake zao wakorofi siku za weekend.
Unajua wanaume wengi siku za Jumamosi na Jumapili hawaendi kazini hivo hushinda nyumbani.
Sasa katika hao kuna baadhi wake zako ni wakorofi na wana midomo sana wakishinda nao nyumbani.
sa sisi tunachofanya ni kushinda na mume wa mtu siku nzima na pia kupatiwa huduma mbalimbali sawia na zile za kwa mkewe.
Karibu.
Dah shetani ananiita walai Mungu anisaidie tu nisielekee uhindini
 
Kuna ile ambayo wewe unakuwa uchi halafu unalala kifudifudi, halafu Mlimbwende anaekufanyia masaji nae anakuwa uchi kisha anateleza kama samaki mgongoni kwako.

Jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama kambare
 
Back
Top Bottom