Nani kaipa mamlaka Israel ya kuishambulia Syria?

Ungeanzisha mada ya kidini kwenye uzi mwingine
 
Kaongea hayo kwenye Hadith ipi au Sura ipi ,tuweke hapa tuchambue

Ujue uzushi sio mzuri
Mimi sizushi huwa naongea daima ukweli, nimeisha kuwekea mpaa video na hadithi bado unasema nimzushi, hebu we nenda kwenye Google kafanye searching utakutana na hadithi sa we ni mbishi tu

Mimi kwanza ni mtu huwa namini Qur'an tu. Nyie wakristo ndio mnamini hadithi sa mbona hi mnajidai hamjawahi kuisikia 🤣
 
Umeiweka kitaalamu sana.
Ila tu kujadiliana na hawa wenzetu wa bimdogo utapoteza muda tu.
Mtazamo wa kiroho na mtazamo wa kimwili ni kama maji na mafuta, nuru na giza, hamwezi elewana.
 
Umeiweka kitaalamu sana.
Ila tu kujadiliana na hawa wenzetu wa bimdogo utapoteza muda tu.
Mtazamo wa kiroho na mtazamo wa kimwili ni kama maji na mafuta, nuru na giza, hamwezi elewana.
Ni kweli Hawa jamaa hata vitabu vyao vinasema hawana elimu na mambo ya kiroho
 
Hiyo Hadith unayotembea nayo haijataja Israel,ni mnabahatisha ndio maana hukutoa Aya Bali ulileta video ya kukokoteza
 
Hiyo Hadith unayotembea nayo haijataja Israel,ni mnabahatisha ndio maana hukutoa Aya Bali ulileta video ya kukokoteza
Wapi video ilisema Israel? We kichaa kweli video na hadithi zinaongelea Syria atashinda vita sababu ndio yatakuwa makao makuu ya Waislam. Usiwe unajibu kama kicha wewe ndio yule mtengenza majina mengi. Sichelewi kukunada mana akili ndio zile zile.

Mimi ndio nilisema Israel kwa sababu na yeye ni mmoja wapo, taifa lake lipo against Waislam.
 
Acha kupaniki ,sasa kama ulisema wewe ni Israel unachopaniki ni kipi?


Hiyo Hadith ni uongo,
 

Adiossamigo: Wewe ni Shia nini? Makao Makuu ya Uislamu yatakua Syria!! Kwa hiyo mtaihamisha Kaaba kutoka Mecca! Saudia itaawacha kweli! Maana Mfalme wa Saudia ndio "Custodian of the two Holy Mosque" Mtaanzisha vita vingine tena!
 
Hii mada ipo juu sana ya uwezo wako, acha kujadili kitoto toto unafikiri tupo chekechea hapa tunasimuliana adithi za uwongo na ukweli hapa😕😕
 
Adiossamigo: Wewe ni Shia nini? Makao Makuu ya Uislamu yatakua Syria!! Kwa hiyo mtaihamisha Kaaba kutoka Mecca! Saudia itaawacha kweli! Maana Mfalme wa Saudia ndio "Custodian of the two Holy Mosque" Mtaanzisha vita vingine tena!

View: https://youtube.com/shorts/60n9LCuInws?si=wcFMMy0aNF6V0p0a

View: https://youtube.com/shorts/9lfOQhlaRws?si=kzeuYFTaRB0LKlAd
Hawa mbona Sunni sikia wanasema nini.

Nani kakuambia Makkah na Al Madina vinahusika hapo, hapo ni makao makuu ya jeshi yatakuwa sio Sehemu ya dini.


Mimi si Shia, ni Ibadhi lakini kila Sheikh naheshimu mawazo yake awe Sunni au Shia.
 
Hii mada ipo juu sana ya uwezo wako, acha kujadili kitoto toto unafikiri tupo chekechea hapa tunasimuliana adithi za uwongo na ukweli hapa😕😕
Mimi ukifikia robo ya elimu yangu kwenye dini na elimu ya kawaida utakuwa na bahati sana.



View: https://youtube.com/shorts/zme9dC3Ayhg?si=tOKebUAKtr-w7aQB
Hawa masheikh wote kumbe wajinga kama mimi sio 😄 🤣

We wachana na hadithi za masheikh nenda kasome Bibilia je Israel itabaki, kama itabaki basi njoo unifundishe uislam. Sababu hata bibilia huijui utaufahamu uislam wewe.

Israel itaondoka tu na kama Israel itabaki basi ni history tu.

Mtu anaye jita Mtoto kida the great kushindana naye ni ujinga tu.
 
Kwa hiyo Kenya ikipata taarifa za kiitelejensia inayo haki ya kuja kushambulia Tanzania na kurusha mabomu sehemu mbalimbali ?

Na hizo taarifa za kiitelejensia zielezee hapa sote tuzisome
Hata wale magaidi wa kibiti imelazimika kuwafuata Msumbiji sio kusubiri mpaka waje tena wakati una taarifa za kiintelijensia kuhusu mipango yao kukuhusu, Israeli haiwezi tena kusubiri yaliyo wapata October 7 wanawekeza sana kuzuia na kukomesha
 
Ni kama tu Russia ilivyofanya Ukraine, sababu ni kwamba jirani yako akiwa ni adui na ana silaha hatarishi kwako ni lazima unyang'anye kwanza hata kama hajakushambulia kama kumyang'anya iko ndani ya uwezo wako
 
Nani adui yao ?

Unamuitaje mtu adui yako ndio kwanza utawala mpya ? Haujarusha hata risasi moja katika mpaka wako ?
Kwan wewe YAS wamekusamehe madeni ya iliokua TIGO? au umehama nayo??
 
Israel haijaanza kushambulia Syria baada assad kupinduliwa ni kabla kitambo huko na haijawahi kuhitaji ruhusa ya mtu yoyote kushambulia, mashambulizi ya sasa hivi wameyatolea sababu kwa nini yanafanyika
Kwaiyo ukitoa sababu zako tu unaruhusiwa kushambulia nchi iliyo huru!? Kwann binadamu tunajitoa akili Kiasi hiki!!!? hivi leo Iran iamke itangaze tuna taarifa za kiitelijensia Saudi wanataka kutuvamia aanze kuporomosha mabomu Riyadh nani atakayemuelewa kama hakuangushiwa mabom na Nato yote!? Tuacheni ushabiki maandazi Israel ni taizo kubwa sana katika dunia hii anafanya anavyotaka na dunia imekaa kimya kabisa
 

Mkuu, mbona kimya na Turkey! Dunia inapagawa na Israel, Turkey amefanya hicho hicho...!

Israel and Turkey conduct airstrikes on Syria's military bases​



View: https://youtu.be/t76lQNh0AY8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…