MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,550
- 12,239
Msimu mpya unaanza 21 april hizi ni highlight tu...Keeping Up With the Kardashians!!?
Ya mwaka gani hiyo?
Season 1 ilishaisha toka 2021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimu mpya unaanza 21 april hizi ni highlight tu...Keeping Up With the Kardashians!!?
Ya mwaka gani hiyo?
Kwani hii kazi Steve Nyerere amestaafu?Aristote naye ni kuwadi mzuri sana kwenye kuwaunganisha hao mastaa wa kike na wateja wanaotaka huduma
Mobeto huwapata waume za watu wenye vibunda hasa kwa njia hii
Aristote anaweza akaweka clip ya mteja waje akiyakata mauno kwenye akaunti yake ya insta akiwa pale kwenye salon yake kumbe demu yuko sokoni. Ukimwelewa unamcheki tu jamaa anakuunganisha mkielewana bei unajipigia
Kuwadi mwingine Lokole
Naye yupo kazini kuwadi mkuu wa UwoyaKwani hii kazi Steve Nyerere amestaafu?
Sasa huyo ndo babalao, hao kina Aristote watoto wadogoNaye yupo kazini kuwadi mkuu wa Uwoya
Umechanganya ma file,.Bhoke huyu si yule wa BBA
futa comment yako hii,Umechanganya ma file,.Bhoke huyu si yule wa BBA
Na alipotoka nje ya jumba tu jamaa akaua kabisa kuwa demu hana hadhi ya kutembea nae ilikuwa kiki tu.futa comment yako hii,
alilalwa kavu kavu na miguno akatoa
Jamaa hakutoa hata senti
Namuelewa sana yule mwenye sauti ya ng'ombeDadaz, siku nikikosa kazi hua nawaangalia nampenda yule Mwanne yupo real sana, anavimaneno vyake na vistory vyake fulani haboi, ila hao wengine wakuiga uzungu ndio wanazidi kukiharibu kipindi.
Hahahaaa Dadeeeq ***** walah [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Na alipotoka nje ya jumba tu jamaa akaua kabisa kuwa demu hana hadhi ya kutembea nae ilikuwa kiki tu.
Tatizo vijana wakishamiliki smartphone ukubwani wanajikuta wajuaji wa kila jambo. Ukute hiyo 2011 alikuwa Bahi huko kavalishwa nepi ya kaniki.
Duuh toeni mwongozo vizuri basi, tujichagulie wa kuwafumuaNaye yupo kazini kuwadi mkuu wa Uwoya
Steve NyerereDuuh toeni mwongozo vizuri basi, tujichagulie wa kuwafumua
HahaaDollar 400 naondoka nayo?
HAHAHAHHahaa
Kahaba😆😆HAHAHAH
Naunga mkono hojaHuyo hata akinipa bure sipigi. Bora nipige puchu.
DooohHaka kadada sikapendi mapepe kimberembere kinajionaga yeye ndio kinaongea point na kicha chake kama siafu