Nani kamdanganya Bhoke wa EATV anapendeza akipepesa macho yake kama kaingiwa na mchanga

Kwani hii kazi Steve Nyerere amestaafu?
 
futa comment yako hii,
alilalwa kavu kavu na miguno akatoa
Jamaa hakutoa hata senti
Na alipotoka nje ya jumba tu jamaa akaua kabisa kuwa demu hana hadhi ya kutembea nae ilikuwa kiki tu.

Tatizo vijana wakishamiliki smartphone ukubwani wanajikuta wajuaji wa kila jambo. Ukute hiyo 2011 alikuwa Bahi huko kavalishwa nepi ya kaniki.
 
Dadaz, siku nikikosa kazi hua nawaangalia nampenda yule Mwanne yupo real sana, anavimaneno vyake na vistory vyake fulani haboi, ila hao wengine wakuiga uzungu ndio wanazidi kukiharibu kipindi.
Namuelewa sana yule mwenye sauti ya ng'ombe
 
Na alipotoka nje ya jumba tu jamaa akaua kabisa kuwa demu hana hadhi ya kutembea nae ilikuwa kiki tu.

Tatizo vijana wakishamiliki smartphone ukubwani wanajikuta wajuaji wa kila jambo. Ukute hiyo 2011 alikuwa Bahi huko kavalishwa nepi ya kaniki.
Hahahaaa Dadeeeq ***** walah [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…