Nani kamdanganya Bhoke wa EATV anapendeza akipepesa macho yake kama kaingiwa na mchanga

Na kiingereza chake Cha mchongo
 
Dadaz, siku nikikosa kazi hua nawaangalia nampenda yule Mwanne yupo real sana, anavimaneno vyake na vistory vyake fulani haboi, ila hao wengine wakuiga uzungu ndio wanazidi kukiharibu kipindi.
Mwanne yuko poa sana dada,
 
Kumbe ni kahaba wa zamani sana 😁😂😅🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…