Nani kamponza Mama Rita Mlaki kumjibu Mange ?

Nani kamponza Mama Rita Mlaki kumjibu Mange ?

Huyo Mangi Kimavi atawapotezea muda bure tu....vipi kama mnamkamata alafu mnagundua ni mgonjwa wa akili (in fact kuna 90% uwezekano huo).....

Kama mkamuweka selo akaanza kujitupatupa au kupakaza choo kwenye kuta za selo....mwishowe mtamuachia tu...so mi ningedhani ni bora mkamuacha.

.......unless kama mmemuandalia electric chair......
Nawewe ni kichaa mmoja wapo! sasa ukiandika jina la mtu vizuri utapungukiwa nini?
Haya sasa baada ya kuandika ivo umempunguzia huo ukichaa!
 
Nawewe ni kichaa mmoja wapo! sasa ukiandika jina la mtu vizuri utapungukiwa nini?
Haya sasa baada ya kuandika ivo umempunguzia huo ukichaa!
kesi ya t..co hulipwa kwa t..co.
 
pole sana mama Rita,Mange ni socialite,ila kiundani ni social reject,watu wa hivi wanakuwaga wanyama,bora ujinyamazie mama Rita,hana mama huyo,haoni tabu kuwadhalilisha mama wa wenzie,

Mume wako naomba Mungu akupe ujasiri,uvumilie hizi kashfa.
Tatizo mna-deal na outcome... alichofanyiwa Mange na familia ya mam Ritha Mlaki mnakijua..??
 
Ningemuona ana haki,asingemdhalilisha huyo mama hivyo,anyway tueleze walichomfanyia mange,mie siku hizi nimepunguza umbea by 50% lol
1. Inaonyesha hujui chanzo
2. Inaonyesha hujui Mange kafanyiwa nini na familia ya mama Ritha

Umepunguza umbea kwa 50% halafu unawabisha unachoambiwa....

Hivi, kusema ulichotenda na wewe kutenda kinachosrmwa kupi ni kudhlilisha..??
 
1. Inaonyesha hujui chanzo
2. Inaonyesha hujui Mange kafanyiwa nini na familia ya mama Ritha

Umepunguza umbea kwa 50% halafu unawabisha unachoambiwa....

yes.sijui chanzo nimeona tu post ya mama mlaki,sibishi na sitaki kubishana na yeyote,kama wewe ulivyochukua side ya Mange,mimi nimechukua side ya mama mlaki,pole km hili limekukwaza.
 
yes.sijui chanzo nimeona tu post ya mama mlaki,sibishi na sitaki kubishana na yeyote,kama wewe ulivyochukua side ya Mange,mimi nimechukua side ya mama mlaki,pole km hili limekukwaza.
NO DATA NO HAKI YA KUONGEA... kama hujui chanzo ungeanza kwa kuuliza siyo ku-take side then uje uombe kupewa hali ilivyo wakati umeshakuwa biased bila kujua chanzo...

WATANI ZANGU WABENA HUWAGA WANASEMA. .. MUWAGE MUNAULISAGA KWANSA
 
NO DATA NO HAKI YA KUONGEA... kama hujui chanzo ungeanza kwa kuuliza siyo ku-take side then uje uombe kupewa hali ilivyo wakati umeshakuwa biased bila kujua chanzo...

WATANI ZANGU WABENA HUWAGA WANASEMA. .. MUWAGE MUNAULISAGA KWANSA

wewe nae,niulize chanzo ili iweje???kama wewe una data,tuambie kwa nini yeye kila siku ndio wa kutafutwa na watu?? I mean kwa nini kila ugomvi ni yeye ku play victim card kuwa yeye ni muhanga ,na sio mchokozi,tuna familia hapa iko katika hali tete,
 
NO DATA NO HAKI YA KUONGEA... kama hujui chanzo ungeanza kwa kuuliza siyo ku-take side then uje uombe kupewa hali ilivyo wakati umeshakuwa biased bila kujua chanzo...

WATANI ZANGU WABENA HUWAGA WANASEMA. .. MUWAGE MUNAULISAGA KWANSA
Nimeulisa, nijibu basi
 
wewe nae,niulize chanzo ili iweje???kama wewe una data,tuambie kwa nini yeye kila siku ndio wa kutafutwa na watu?? I mean kwa nini kila ugomvi ni yeye ku play victim card kuwa yeye ni muhanga ,na sio mchokozi,tuna familia hapa iko katika hali tete,
Uulize ili unapoandika uandike vitu au mambo unayoyajua...
 
Back
Top Bottom