Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Mange sio kichaa.......ana akili zake timamu......
Sijui kwa nini yeye akitukanwa watu huwa hamuoni......na mbaya zaidi huwa hakurupuki kukutukana......anakuloweka kwanza....ukolee sabuni weeeee.......siku ya kukusuuza na kukuanika.......ndio utamfehemu.......
Mi namwelewa sana........
Sijui kwa nini yeye akitukanwa watu huwa hamuoni......na mbaya zaidi huwa hakurupuki kukutukana......anakuloweka kwanza....ukolee sabuni weeeee.......siku ya kukusuuza na kukuanika.......ndio utamfehemu.......
Mi namwelewa sana........