Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unakijua?Tatizo mna-deal na outcome... alichofanyiwa Mange na familia ya mam Ritha Mlaki mnakijua..??
Huyu Mange wanampa ujiko wa bure, dawa yake ni kukata na kufunua kama unapiga mwanaume. Unang'oa meno ya barazani halafu unaondoka na kipande cha wig. Akiamka asubuhi biscut anaita bithkuth.
Mazingira ya kitanzania ninayoijua mimi huwezi kutukana tu watu hata ukiwa chizi lazima upewe discipline.
😀😀 siku akitua bongo, watu watamgawana palepale airport maana sio kwa RB zile.
DuhWewe unavaa? Miguu yote au mmoja?
Miaka ya nyuma enzi za magot ukivaa kikuku inamanisha unatoa 0714Kwani kuvaa vikuku ni umalauya? Ebu tu ache imani potofu, Kama anapendelea eboo
Hii nimeipenda ila naamini ipo siku tu atakanyaga nyaya zisizokanyagwa ndio atakapokijua chamtema kuni
Unamuheshimuje MTU ambae hata yeye hajiheshimu?Mange haeshimiwe, kama anavyo heshimika Ritta mlaki kwa nini mnamtukana Mange? kama kilichosemwa ni uongo, its matter of proving wrong! basi mambo mangapi amekuwa anayaandika hapa na badae tunaujua ukweli? huyu mtu haeshimiwe, kuna viongozi wanchi hii huwa wakienda nje wanajigeuza kama hawaonekanai kumbe wakina mange ndo huwa madarali wakiwatosa ndo tunaujua ukweli.
Hivi serikali haiwezi kumtuma mtu,kule aliko,wakamchukue....?Huyu Mange wanampa ujiko wa bure, dawa yake ni kukata na kufunua kama unapiga mwanaume. Unang'oa meno ya barazani halafu unaondoka na kipande cha wig. Akiamka asubuhi biscut anaita bithkuth.
Mazingira ya kitanzania ninayoijua mimi huwezi kutukana tu watu hata ukiwa chizi lazima upewe discipline.