Nani kamponza Mama Rita Mlaki kumjibu Mange ?

Nani kamponza Mama Rita Mlaki kumjibu Mange ?

Tatizo mna-deal na outcome... alichofanyiwa Mange na familia ya mam Ritha Mlaki mnakijua..??
Wewe unakijua?
Nyinyi ndio mmejazana kwenye page yake mkishangilia ujinga anaoufanya huyo mwanamke.
Hii ni mara ya pili huyu mama anatukanwa na mange, wala sio mara ya kwanza, na chanzo ni mtoto wa huyu mama kwenda ku like tu kwenye page ya hasimu wa mange wala si vinginevyo.
Na maadui zake ni wale walioamua kuanika ukweli wa life lake huko ughaibuni.
Wewe umemjua kwenye instagram lkn alianza huo mchezo toka U turn blog yake, kipindi hicho hakuna fb wala ig😀, kabla haijafungwa.
Ukichunguza account yake hivi sasa Hayupo karibu na watu wengi wa karibu aliyokuwa akipost picha zao, maana yake ni kwamba kila mtu anamkwepa,na hata walioamua kujibu mashambulizi wanatumia fake account ili kulinda familia zao zisiadhilishwe kama huyu mama.
Na kwa nyie mnaomshangilia mkifikili ameshinda hiyo vita, huwezi kutengeneza maadui kama wa mange na ukabaki salama, subilini.
 
Huyu Mange wanampa ujiko wa bure, dawa yake ni kukata na kufunua kama unapiga mwanaume. Unang'oa meno ya barazani halafu unaondoka na kipande cha wig. Akiamka asubuhi biscut anaita bithkuth.
Mazingira ya kitanzania ninayoijua mimi huwezi kutukana tu watu hata ukiwa chizi lazima upewe discipline.

😀😀 siku akitua bongo, watu watamgawana palepale airport maana sio kwa RB zile.
 
Mange sio wa kupiga nae ligi aiseee,kile kichwa hakifai,wanamtukanaga sana hata yeye anatulia kama Mjinga ila siku akiwaamulia ndo utauona uchizi wake, siri zako zote zitamwagwa hadharani
 
Hii nimeipenda ila naamini ipo siku tu atakanyaga nyaya zisizokanyagwa ndio atakapokijua chamtema kuni

Kichwa rungu na shilo wamemshindwa hadi sasa , serikali inamchukia wananchi wanampenda hasa akiamua kuhamasisha mambo mfano mchango wa Tundulisu au kuu push wimbo wa seduce me wa Alikiba.
Tukatae tukubali ushawishi wa Mange unazidi kuongezeka kila kukicha na kila siku watu wanazidi pata habari zake kwa kuhadithiana na wanaamua kumfuatilia hadi wa viijini wenye mitandao
 
Huyo Nambua lipua ndo alimkorofisha Mange hadi akasababisha mama ake atukanwe
 
Mange haeshimiwe, kama anavyo heshimika Ritta mlaki kwa nini mnamtukana Mange? kama kilichosemwa ni uongo, its matter of proving wrong! basi mambo mangapi amekuwa anayaandika hapa na badae tunaujua ukweli? huyu mtu haeshimiwe, kuna viongozi wanchi hii huwa wakienda nje wanajigeuza kama hawaonekanai kumbe wakina mange ndo huwa madarali wakiwatosa ndo tunaujua ukweli.
Unamuheshimuje MTU ambae hata yeye hajiheshimu?
 
Huyu Mange wanampa ujiko wa bure, dawa yake ni kukata na kufunua kama unapiga mwanaume. Unang'oa meno ya barazani halafu unaondoka na kipande cha wig. Akiamka asubuhi biscut anaita bithkuth.
Mazingira ya kitanzania ninayoijua mimi huwezi kutukana tu watu hata ukiwa chizi lazima upewe discipline.
Hivi serikali haiwezi kumtuma mtu,kule aliko,wakamchukue....?
Huyu dada inaonekana alishashinda kila mtu,daaah!
 
Back
Top Bottom