Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ''msimu kula cha wajinga'' umerudi tena nini? Maana hii nchi yangu raia wake wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mara sungura, mara kuku, mara vanila.... kila baada ya muda wanakuja na kipya lakini mtindo ni ule ule.JAMANI NANI KALIMA YEYE KAMA YEYE NA KUVUMA PILIPILI KICHAA ATUPE USHUHUDA WA FAIDA NA CHANGAMOTO ZA KILIMO HUSIKA. ASANTE
Ukulima pilipili kichaa kijijini pako ujue tembo watakususa hawatakuja hata kukusalimu.JAMANI NANI KALIMA YEYE KAMA YEYE NA KUVUMA PILIPILI KICHAA ATUPE USHUHUDA WA FAIDA NA CHANGAMOTO ZA KILIMO HUSIKA. ASANTE
MKUU WEWE UMEJIFUNZA NINI KUTOKA KWAKE USHARE HAPA KWA KUANZIA+255682383518
Mpigie huyu jamaaa kalima heka kumi na siyo mchoyo
Pilipili zinaliwa nahisi kila sehemu, wewe lima ikishindikana process na uza, Haya ya kutegemea sijui usikie nani kafanikiwa ndo yanaingiza watu chaka, na mtu anaweza sema kafanikiwa lakini wewe usifanikiwe na pia anaweza sema hajafanikiwa lakini wewe ukafanikiwaJamani nani kalima yeye kama yeye na kuvuma pilipili kichaa atupe ushuhuda wa faida na changamoto za kilimo husika.
Asante
Hivyo vyote ulivyo vitaja mbona ni Biashara? Changamoto ni kwamba watu hawahangaiki kutafuta soko na mbinu za kuuza, hilo ndo tatizo kubwa,Kuna ''msimu kula cha wajinga'' umerudi tena nini? Maana hii nchi yangu raia wake wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mara sungura, mara kuku, mara vanila.... kila baada ya muda wanakuja na kipya lakini mtindo ni ule ule.
Usilime kwa sababu tu kwamba umesikia watu wakihamasoshwa, Wewe tafuta furusa ingia lima kwa sababu zako sio zs kuhamasishwa, Kama unalima kwa sababu ya hamasa na kushauri achaNAJUA KUNA WATU WANAHAMASHA NA WANAKUSANYA ILA NATAKA KUPATA USHUHUDA WA MTU ALIYELIMA ILI KUJIFUNZA FIRSA NA CHANGAMOTO ZAKE HASA
Infact sijasema sii biashara. Nimeuliza ni msimu mwingine tena wa kula wajinga umefika?Hivyo vyote ulivyo vitaja mbona ni Biashara? Changamoto ni kwamba watu hawahangaiki kutafuta soko na mbinu za kuuza, hilo ndo tatizo kubwa,
Mim nipo kwenye kampuni inayojihusisha na kilimo hiki nmeajiliwa km afisa kilimo...kiukwel hii fursa ipo ila masoko yake hayako waz sana km uko tyr fatilia ilka hiki kilimo kinalipa sanaKuna ''msimu kula cha wajinga'' umerudi tena nini? Maana hii nchi yangu raia wake wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mara sungura, mara kuku, mara vanila.... kila baada ya muda wanakuja na kipya lakini mtindo ni ule ule.
Hatari....Kuna mwamba kalima na ameamdika makalaUsilime kwa sababu tu kwamba umesikia watu wakihamasoshwa, Wewe tafuta furusa ingia lima kwa sababu zako sio zs kuhamasishwa, Kama unalima kwa sababu ya hamasa na kushauri acha