Nani kati ya GSM na Hersi analitaka jimbo la Kongwa?

Nani kati ya GSM na Hersi analitaka jimbo la Kongwa?

Waafrica ndo mana duniani tunabaguliwa sana,hebu tuone comment za waja wakiwabagua wa-Africa wenzao huku Taifa subway duniani kama USA Lina wabunge/viongozi lukuki mpaka wale wa state house ambao hawana asili ya America. SHAME ON US NGOZI NYEUSI
 
Hersi ni msomali wa Kongwa na GSM ni mwarabu wa Dar, GSM hawezi kujiingiza kwenye siasa isipokuwa Hersi ndiyo anautaka ubunge wa Kongwa baada ya Ndugai kutolewa kwenye system hii corrupt, hawa ni mtu na shemeji ake.
 
Back
Top Bottom