fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Kwani Askofu Gwajima amezaliwa Kawe?Kwamba hao jamaa wamezaliwa kongwa??
Kuongoza Yanga hawezi ataweza uwaziri?GSM Hana muda huo
Kaenda kumsaidia tu engineer
Achukue Jimbo mapema Sana
Siasa ya Tanzania ndio ilivyo huyu anaandaliwa kuwa waziri
NdioAcha udini kwaiyo akiwa mwenye asili ya kizungu au kigiriki ruksa?
Watu wana hesabu kali sana ila wakurungwa tulizijua muda sana ngoja utaona picha la kivita hivi karibuni.Kwamba hao jamaa wamezaliwa kongwa??
Bashe ni msomali, Kinana na maza ni mwarabu na ni mzanzibar mbona wanatuongoza? Shabibi na Abood ni mwaarabu pia hii nchi ni sehemu ya kujifunzia uongoziMsomali na mwarabu wanataka kuongoza watanganyika duii