Nani khasa huyu Ali Mwinyi Tambwe...Mzalendo, jasusi, shujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar 1964?

Nani khasa huyu Ali Mwinyi Tambwe...Mzalendo, jasusi, shujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar 1964?

Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 
Back
Top Bottom