Nani kufuzu nusu fainali leo kati ya Wananchi na Wenyenchi?

Nani kufuzu nusu fainali leo kati ya Wananchi na Wenyenchi?

JF Toons

Digital Art by JF
Joined
Feb 19, 2024
Posts
33
Reaction score
73
Mtaniii,

Leo usiku zinatarajiwa kucheza mechi mbili za kihistoria ambapo Simba na Yanga zitakuwa ugenini kwenye ng'we ya pili ya robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa.

Simba wapo Misri kumenyana na Al Ahly wakitafuta kupindua meza baada ya kupoteza mchezo wa nyumbani kwa bao 1-0!

Yanga wapo Afrika Kusini kutafuta ushindi au sare ya magoli mbele ya miamba Mamelodi Sundowns ili wasonge mbele!

Nani unampa nafasi kutoboa hapa?

watani.PNG
 
Mtaniii,

Leo usiku zinatarajiwa kucheza mechi mbili za kihistoria ambapo Simba na Yanga zitakuwa ugenini kwenye ng'we ya pili ya robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa.

Simba wapo Misri kumenyana na Al Ahly wakitafuta kupindua meza baada ya kupoteza mchezo wa nyumbani kwa bao 1-0!

Yanga wapo Afrika Kusini kutafuta ushindi au sare ya magoli mbele ya miamba Mamelodi Sundowns ili wasonge mbele!

Nani unampa nafasi kutoboa hapa?

WOTE tunafuzu
 
Moment ya namna hii haijawahi kutokea nchini...!timu mbili kufika robo

Kila mtu anafungua uzi hata kama hana content..!

Sasa njoo kwa Wachambuzi wanaona Wanawajua Saana Wachezaji kuliko hata makocha..!
Tutashuhudia Mengi...!
 
Back
Top Bottom