Nani kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri lijalo?

Ccm ni ukoo wa panya usitarajie jambo la maana h
 
Hao mawaziri ni watumishi wa Raisi tuu na wanafanya wanachoambiwa hakuna jipya hapo wataleta zaidi ya kutekeleza wanayoambiwa na aliyewapa kazi
 
Avunje Baraza Zima ampumzisha Maja nafasi yake ichukuliwe na mtoto wa katibu mkuu wa chama mstaafu aliyeonywa na Bashr.
Huo ndio ushauri wa smiling face.
Au la dogo akikosa u pm apewe ulinzi ili kumuandaa kupanga magogoni come 2025
 
Kwa ummy mwalimu kupewa hiyo wizara naunga mkono Mwigulu kukaa pale amekaa kiupigaji tu ndio maana posho zisizo na kichwa wala miguu zinatoka tu.
 
Yaani Mkuchika umpeleke Ulinzi ni sawa na hii kauli maarufu ya diblo dibala hapa chini[emoji1313][emoji1313][emoji1313]

View attachment 1934030
Umenichekeshaaaaa halafu umenikumbusha mama yangu alinipigia simu kuniambia nasikia magufuli anaumwa sana nikamwambia mama achana na maneno ya mtaani magu mzima si unaona hata waziri mkuu kasema? Nilivyokua namwamini huyu kiumbe dah! Sijawahi kumuamini tena
 
Khaaa sasa tena odo umi kaanza juz tu tamisem hata hajamaliza anaendaje fedha? Mama naye atachemka! Abadili wale wanaoshindwa tu kama kina hasan aka chemba ya fedha
 

mwigulu hafahi kuwa hata barozi wa nyumba 10
 
Simbachawene katulia sana anafaa kuwa huko.
 
Prof Mbarawa?
 
huyo ng'ombe mwigulu hafai kuwa waziri wa chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…