Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Bora mngenyamaza iwe surprised!
Kuna washirikina wataenda kukesha kwa sangoma ili wabaki!
Kuna washirikina wataenda kukesha kwa sangoma ili wabaki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mkuu? Sijakuona kitambo.Yajayo yanafurahisha…
Hata kama kuhamishwa kwa mnyira hakutaleta unafuu wa tozo, ila kitendo cha kuhamishwa kwake ni faraja tosha kwa sisi waathirika wa tozo…
Mkuuu hapo kwa ummy mwalimu niache kidogo na january kwwnda afya niache nashuka nimefikaHabari za ndani sana za uhakika ni kuwa January Makamba anarudishwa kwenye baraza la mawaziri sasa, huenda akawa ni waziri wa Afya. Dr. Tax anaingizwa baraza la mawaziri (lakini sio wizara ya Fedha!). Wizara ya Ulinzi anapewa Mnzanzibar. Na huenda Ummy Mwalimu akawa waziri wa fedha.
Hizo ni tetesi rasmi.
Mkuu vipi kwenye maono yako ujamuona mtumishi Rashid kweli?Mwigulu Nchemba atazimudu siasa za wizara ya ulinzi kama tetesi zinavyosema au ndo atakwenda kupeleka siasa za wizara kwenye Jeshi? Kwangu mimi huyu si mtu sahihi kwa wizara ya ulinzi. Mzee Mkuchika anatajwa pia kwenda Ulinzi, yes will be chaguo sahihi lakini Bado tunaamini ana health strength yakuhudumu Kama Waziri? Kwangu mimi Mzee aachwe apumzike tusimchoshe. Anatajwa Simbachawene kwenda Ulinzi na Masauni kwenda Mambo ya Ndani. Masauni No, Simbachawene Yes. Kwa muktadha wa bla bla zinazoendelea naomba niseme mabadiliko yafutayo yanaweza kuleta tija
Bi. Stergomena Tax Waziri wa fedha, Charles Kimei Naibu Waziri wa fedha. Kwangu hii chemistry haina siasa nyingi na itajenga nidhamu ya kitaasisi ndani na nje endapo watapewa uhuru.
Simbachawene wizara ya Ulinzi, akisaidiwa na Masauni. Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.
Mwigulu Nchemba uwekezaji huku Kitila Mkumbo, DOROTH GWAJIMA wakisubiri bench kuona kama kidogo gurudumu litasogea.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwigulu hafai popote labda Burundi
Hapo kwa Ridhi mmmh labda fadhila za msogani ila hakuna kitu pale tunaenda kupigwa ndani na njeeeBaraza jipya linaweza kuacha kilio kwa watanzania wapenda maendeleo kwa kuachwa kwa mtu muhimu sana ,likini January na Ridhi wataula
Hapo Pa Wizara ya Ulinzi anapewa Mzanzibari Ni Kama nimepaelewaHabari za ndani sana za uhakika ni kuwa January Makamba anarudishwa kwenye baraza la mawaziri sasa, huenda akawa ni waziri wa Afya. Dr. Tax anaingizwa baraza la mawaziri (lakini sio wizara ya Fedha!). Wizara ya Ulinzi anapewa Mnzanzibar. Na huenda Ummy Mwalimu akawa waziri wa fedha.
Hizo ni tetesi rasmi.
Nipo sana… Siku hizi hutembelei kilingenu, nipo nimejaa teleUpo mkuu? Sijakuona kitambo.
Aisee. Sijakuona awamu ya tano yote. Kilinge kipi mkuu.Nipo sana… Siku hizi hutembelei kilingenu, nipo nimejaa tele
MmhHabari za ndani sana za uhakika ni kuwa January Makamba anarudishwa kwenye baraza la mawaziri sasa, huenda akawa ni waziri wa Afya. Dr. Tax anaingizwa baraza la mawaziri (lakini sio wizara ya Fedha!). Wizara ya Ulinzi anapewa Mnzanzibar. Na huenda Ummy Mwalimu akawa waziri wa fedha.
Hizo ni tetesi rasmi.
Bado unamwacha January humo? Wewe nnaona hauko serious!Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.
Comment yako Kama ya kibaguzi na ya chuki kwa mama... Achana na chuki ndugu yangu..nchi ni yetu sote na kikubwa ni kupendana na kuvumiliana kwenye tofauti zetu na misimamo yetuMatatizo yetu makubwa sio ya kiuchumi ni ya kisiasa, unless huyo mama wa kizanzibar aamue kufanya siasa safi we are doomed. atabadiri mawaziri sana na ataishia kuwa na frustration zisizoisha.