Nani kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri lijalo?

Nani kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri lijalo?

Baraza jipya linaweza kuacha kilio kwa watanzania wapenda maendeleo kwa kuachwa kwa mtu muhimu sana ,likini January na Ridhi wataula
 
Habari za ndani sana za uhakika ni kuwa January Makamba anarudishwa kwenye baraza la mawaziri sasa, huenda akawa ni waziri wa Afya. Dr. Tax anaingizwa baraza la mawaziri (lakini sio wizara ya Fedha!). Wizara ya Ulinzi anapewa Mnzanzibar. Na huenda Ummy Mwalimu akawa waziri wa fedha.

Hizo ni tetesi rasmi.
Mkuuu hapo kwa ummy mwalimu niache kidogo na january kwwnda afya niache nashuka nimefika
 
Mwigulu Nchemba atazimudu siasa za wizara ya ulinzi kama tetesi zinavyosema au ndo atakwenda kupeleka siasa za wizara kwenye Jeshi? Kwangu mimi huyu si mtu sahihi kwa wizara ya ulinzi. Mzee Mkuchika anatajwa pia kwenda Ulinzi, yes will be chaguo sahihi lakini Bado tunaamini ana health strength yakuhudumu Kama Waziri? Kwangu mimi Mzee aachwe apumzike tusimchoshe. Anatajwa Simbachawene kwenda Ulinzi na Masauni kwenda Mambo ya Ndani. Masauni No, Simbachawene Yes. Kwa muktadha wa bla bla zinazoendelea naomba niseme mabadiliko yafutayo yanaweza kuleta tija

Bi. Stergomena Tax Waziri wa fedha, Charles Kimei Naibu Waziri wa fedha. Kwangu hii chemistry haina siasa nyingi na itajenga nidhamu ya kitaasisi ndani na nje endapo watapewa uhuru.

Simbachawene wizara ya Ulinzi, akisaidiwa na Masauni. Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.

Mwigulu Nchemba uwekezaji huku Kitila Mkumbo, DOROTH GWAJIMA wakisubiri bench kuona kama kidogo gurudumu litasogea.
Mkuu vipi kwenye maono yako ujamuona mtumishi Rashid kweli?
 
Baraza jipya linaweza kuacha kilio kwa watanzania wapenda maendeleo kwa kuachwa kwa mtu muhimu sana ,likini January na Ridhi wataula
Hapo kwa Ridhi mmmh labda fadhila za msogani ila hakuna kitu pale tunaenda kupigwa ndani na njeee
 
Habari za ndani sana za uhakika ni kuwa January Makamba anarudishwa kwenye baraza la mawaziri sasa, huenda akawa ni waziri wa Afya. Dr. Tax anaingizwa baraza la mawaziri (lakini sio wizara ya Fedha!). Wizara ya Ulinzi anapewa Mnzanzibar. Na huenda Ummy Mwalimu akawa waziri wa fedha.

Hizo ni tetesi rasmi.
Hapo Pa Wizara ya Ulinzi anapewa Mzanzibari Ni Kama nimepaelewa
 
Hili baraza bado lina watu wanashangaza sitaki kuamini Uwepo wa Ndalichako Kwenye Wizara nyeti kama Elimu
 
Habari za ndani sana za uhakika ni kuwa January Makamba anarudishwa kwenye baraza la mawaziri sasa, huenda akawa ni waziri wa Afya. Dr. Tax anaingizwa baraza la mawaziri (lakini sio wizara ya Fedha!). Wizara ya Ulinzi anapewa Mnzanzibar. Na huenda Ummy Mwalimu akawa waziri wa fedha.

Hizo ni tetesi rasmi.
Mmh
 
Matatizo yetu makubwa sio ya kiuchumi ni ya kisiasa, unless huyo mama wa kizanzibar aamue kufanya siasa safi we are doomed. atabadiri mawaziri sana na ataishia kuwa na frustration zisizoisha.
Comment yako Kama ya kibaguzi na ya chuki kwa mama... Achana na chuki ndugu yangu..nchi ni yetu sote na kikubwa ni kupendana na kuvumiliana kwenye tofauti zetu na misimamo yetu
 
Back
Top Bottom