TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
it is sad when people are concerned about our country halafu chakubanga mmoja analeta utani... ungepost kwenye jukwaa la utani aiseeMtembezi katika tembea tembea yangu kama ilvyo ada nimefanikiwa kunusa KIGOGO mmoja aliyekaribu na IKULU anadai jina la waziri mkuu mpya ni SHAMSI VUAI NAHODHA wana jamvi mpo?