β βοΈβοΈPinda kapinda
Nawe bashiri lo
Hakuna mpinzani anaweza kupata. Nimemsema Msigwa ili kuwakomoa chadema, then baadaye wanamtupa.Kafulila
Nawatabiria kijana mkorofi.Mimi nabashiri Msigwaππππ
Huyo ana genge lake la watekaji wa awamu ya tano, anaweza kuwekwa kwa muda tu, nadhani ziara ya katavi ilikuwa na lengo la kumshawishi Pinda akubaliBashiru
Mizengo Kayanza PindaMimi nabashiri Msigwaππππ
PIA SOMA
- Breaking News: - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia