brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Hapa syo lumumbaKaribu tutoe maoni yetu hapa,
Nimeona maoni mbalimbali hasa kwenye groups za Whatsapp haya majina saba yametajwa mara nyingi zaidi.
Ni bora sasa iwepo Poll ili kulishindanisha Kila kundi,
Jinsi ya kupigakura,
Veka tiki kwa Mwanachama unayemwamini zaidi
Kisha shuka chini sehemu imeandikwa "Cast vote" bonyeza hapo.
Huyo aliyekuwa houseboy wa Mchungaji wa Kizungu naye akaamua kujiita mchungaji?MCH Msigwa
Nireteeni Gwajima.
Hapana,ni maoni tu Mzee panamfaa pale wengine hao Chama kitapotea.Naona mnapigiana mapande tu
Ndiyo tutakuwa tunaelekea kurasimisha mfumo jike kabisa.Mimi nabashiri Msigwaππππ
PIA SOMA
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Msigwa????CCM itapasuka vipande vipande na haitainuka tena.People have been in CCM all their lives halafu leo aje mgeni ambaye hajakifanyia chama chochote awe Makamu Mwenyekiti!!!!! Mimi ni mwana CCM inactive,for obvious reasons,lakini naomba niseme hivi,it will be a very irrational thing to do na matusi kwa wana CCM kwa ujumla wao,pamoja na uhovyo wao kumweka Msigwa awe Makamu mzaidizi wa CCM,hata kama hiyo post ni sort of symbolical.Lakini as you have rightly said anything is possible with CCM(Chama Cha Majambazi).Mimi nabashiri Msigwaππππ
PIA SOMA
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
si wanataka kuwakomoa chadema......mbona kuna MaDc wakati vijana waliokifia chama wako benchi.... au position ya Makamu Mkiti ni muhimu sana may be1 CCM lolote inawezekanaMsigwa????CCM itapasuka vipande vipande na haitainuka tena.People have been in CCM all their lives halafu leo aje mgeni ambaye hajakifanyia chama chochote awe Makamu Mwenyekiti!!!!! It will be a very illogical thing to do na matusi Kwa Wana CCM kwa ujumla wao,pamoja na uhovyo wao.
Ndio maana tunasema CCM ni ya mandondocha,inawafaa wenyewe.Unafanya kitu ili kumkomoa mwingine,how small minded.si wanataka kuwakomoa chadema......mbona kuna MaDc wakati vijana waliokifia chama wako benchi.... au position ya Makamu Mkiti ni muhimu sana may be1 CCM lolote inawezekana
Already mfumo dume umesimamishwa mkuu.Kama una a woman President what else do you need.Satan has given Eve(a k.a.Samia) all the tools she needs to advance his kingdom in Tanzania.Ndiyo tutakuwa tunaelekea kurasimisha mfumo jike kabisa.