Pre GE2025 Nani kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara baada ya Mzee Kinana kujiuzulu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lukuvi au Pinda atafaa kwa 4R ni mustaarabu sana.
 
Unatuwekea watu unaowataka wewe Kisha unataka tupige kura??

Pokea kwanza maoni ya Wana Jf, chambua na chuja! Then wanaobaki tuletee tuwapigie kura!!

Mbona hapo hujaweka jina la mchepuko wa Lucas?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…