Sio mwanasiasa yule,Hana tofauti na Tundu lissu nitawashangaa sana ACTOthman Massoud, aliekuwa mwanasheria mkuu utawala wa sheni anafaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mwanasiasa yule,Hana tofauti na Tundu lissu nitawashangaa sana ACTOthman Massoud, aliekuwa mwanasheria mkuu utawala wa sheni anafaa sana.
Babu Juma Duni Haji watamroga sana wiki hii[emoji16]
Sema watarogana sana wiki hii!!!!!
na utaratibu bado utasimamia UMOJA NA MUAFAKA hivo bado ACT wanayo nafasi kutoa jina litakalo rithi nafasi hiyo ili kuendeleza UMOJA NA MUAFAKA.Twende kikatiba zaidi...
Katiba ya zanzibar ya mwaka 1984 na mabadiliko yake toleo la 2010...
Hajafa kafwa MUMEOMbona sielewi Maalim Sefu Sharif Hamad amekufa?
Niko dunia gani mimi!
Ningekuwa na maamuzi nisingeunga mkono jina la Babu duni,kwa sababu ya umri wake, Ni kweli amefanya mengi i'la anaelekea ukingoni Sasa,tupate kugroom damu mpya kabisa itakayokaa muda mrwfu kwenye siasa zetu, kwa sabbu Ni cheo Cha king'ora tu, tupate hata sura mpya ya kijana walau mwenye miaka 40 hiviii i'la tu tusiwe na mashaka na akili yake,uaminifu wake na imani yake ktk upinzani,wazee tuwalee vzr Sasa tuwahudumie wamefanya kazi kubwaJuma Duni ndio natural Hair wa Maalim Seif. Japo kuwa Umri umekwenda, na pia amepoteza ushawishi kwenye chama na kwa wafuasi ukilinganisha na miaka ya nyuma. Lakini bado anabaki kuwa ndie most deserved one
MWenye vision na nchi ndio muhimu, Sioni zaid ya Othman Massoud kwa sasa. Unless labda mna malengo yenu mengine kinyume na maslahi ya nchi!Sio mwanasiasa yule,Hana tofauti na Tundu lissu nitawashangaa sana ACT
Kwa Zanzibar ni ndoto ya mchana. Wazanzibari wote by nature ni wanasiasa. kila anaezaliwa anajuwa siasa na anafunzwa ni nini mission ya Zanzibar na umuhimu wake kwa ustawi wa Zanzibar in general. Kwa wale mnaodhani kufa kwa Maalim Seif ndio mwisho wa siasa za Zanzibar mnakosea sana!Maalim Seif alikua analeta balance kubwa kwenye siasa za upinzani Zanzibar, kiasi kwamba sasa wasipokua makini mambo yanaweza kuvurugika
Makamanda hao, kwa kushadadia vifo vya wenzao hawajambo. Watu bado wanaomboleza na mazishi hayajafanyika, wao wameshaanza kupiga ramli za vyeo 😢Haraka ya nini ndugu yangu hata kuzika hatujazika! au utataka mali za urithi?
SIna uhakika, ila kulingana na jinsi nafasi hiyo hujazwa, inaonekana kuwa ni kwa matakwa ya rais Mwinyi tu; anaweza kumteua mzanzibari yeyote kushika nafasi hiyo, siyo kwa ajili ya ACT-Wazalendo tu au chama chochote.Ni wazi kwamba Gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki ( Apumzike kwa amani ) lakini ikumbukwe kwamba Zanzibar bado ingalipo na itaendelea kuwepo.
Sasa bila shaka Katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Makamu wa Kwanza wa Rais, je imeeleza chochote jambo kama la kifo linapotokea? Na kama ACT Wazalendo wanaruhusiwa kujaza nafasi ya Maalim Seif unadhani ni yupi awezaye kuvaa viatu hivi?
Kwa Zanzibar ni ndoto ya mchana. Wazanzibari wote by nature ni wanasiasa. kila anaezaliwa anajuwa siasa na anafunzwa ni nini mission ya Zanzibar na umuhimu wake kwa ustawi wa Zanzibar in general. Kwa wale mnaodhani kufa kwa Maalim Seif ndio mwisho wa siasa za Zanzibar mnakosea sana!
Jusa hapanaHii ngoma wampe Jussa...
Jusa hapana
Ni Sawa lakini kwa uzoefu wa siasa za Zanzibar Jusa anaweza asiwe mwiba sanaHayo si maoni yako jombi? Si kila mtu ana yake?....