Nani kwa Hakika alistaili ufalme wa rhymes ~2004?

Nani kwa Hakika alistaili ufalme wa rhymes ~2004?

Mkuu kuna Mahala hapa napingana na maneno yako, Nyimbo ya Mtazamo ilirekodiwa baada ya mashindano kuisha na ilikua ni kuthibitishia mashabiki kwamba hawana beef tena kati yao.

Na swala la kutoonekana kwenye video ilikua bahati mbaya tu kwa Prof Jay ndio alishindwa fika location siku hiyo maana alikua kikazi Tanga nadhani.

Solo Thang alikuepo na video walishoot morogoro ingia YouTube kaangalie vizuri tena mkuu.

Mtazamo ndio ilianza mkuu!! Na hata ukitafuta magazeti ya kipind hiko ya Global publishers utakuta pale kwenye shindano la mfalme wa rhymes kwa afande wimbo ni mtazamo
 
Wi
Acha kupotosha, Darubin kali ndiyo wimbo uliompa ushindi Afande Sele.
Wimbo alioingia nao kinyang'anyironi ulikuwa MTAZAMO, Ila ilipofika hatua ya fainali ndio akaperform huo DARUBINI KALI.

Ikumbukwe shindano lilikuwa linaitwa mkali wa vina, sasa kwenye masuala ya vina, Solo Thang alikuwa ni hatari sana, vina mwanzo kati na mwisho.
 
mzee baba, Fid Q kwa mwaka 2004 alikuwa bado sana,alikuwa bado ajatoa nyimbo ambazo kali kwa kipindi kile alikuwa bado under dog,kwangu mm solo alifaa kuchukua
Yaani mmeshangaa sana fid Q huyu hata kujulikana sio kihivyo,Jay Moe au Solo thang Ndo walistahili
 
Kwani si wewe mwenyewe ndiye uliyesema kipindi hicho mashindano yanafanyika ulikuwa bado mtoto!?.Sasa dharau imetoka wapi?.
Ndio maana kuna sehemu kuna mdau kauliza kama Solo alishawahi kuwa kundi la wateule we ukajibu hapana.Nikakushauri usijibu vitu usivovijua kwa sababu wakati hayo mambo yanatokea wewe ulikuwa bado mtoto.
Kuhusu swala la Solo kutokuwa na wimbo mkali kwa kipindi hicho,inategemea wewe na mtazamo wako juu ya wimbo mkali ukoje.
Hata mimi namshangaa
Kadeclare mwenyewe kuwa alikuwa mdogo afu anabishana na kaka zake tuliokuwa tayari tumeshaachana na mademu kadhaa...
Ila sio hajui kabisa.
Anayo knowledge ya hiphop ya kipindi kile.
 
Wi
Wimbo alioingia nao kinyang'anyironi ulikuwa MTAZAMO, Ila ilipofika hatua ya fainali ndio akaperform huo DARUBINI KALI.

Ikumbukwe shindano lilikuwa linaitwa mkali wa vina, sasa kwenye masuala ya vina, Solo Thang alikuwa ni hatari sana, vina mwanzo kati na mwisho.
Wimbo ule mtazamo ulimpa ushindi, sababu ulikuwa hot, na mmiliki alikuwa baba Tunda, ndomana alipenya.
 
Hivi hiyo show nani alingia na wheel chair....nlikuwepo hapo ila sikumbuki
Kumbkmbk zmenipotea

Ova
 
Back
Top Bottom