Nani kwa Hakika alistaili ufalme wa rhymes ~2004?

Nani kwa Hakika alistaili ufalme wa rhymes ~2004?

Nashukuru umewasaidia vijana, walitaka tupigizane kelele tu

Japo najua wengine "wabishi kufa" watakubishia tu watakwambia Wikipedia hata wewe ukitaka unaweza edit.

Ila ukweli unabaki pale pale, afande sele alikuwa mkali wa rhymes kwa darubini kali.
Watoto wa 2000 hao, wasikupe shida sana.
 
Darubini ilitoka baada ya kupewa tayari ufalme was rhymes lakini kwenye mashindano aliingia na wimbo mtazamo ambao aliwashirikisha wasanii Wawili.Afande sele alibebwa sana katika ushindi ule kwa kuchukuwa wimbo ambao tyr alibebwa pia
Afande anasema wotee, wote kimyaa!!!

Nilikuwa live nafuatilia hii makitu, Darubini kali ndo ulikuwa wimbo wa mashindano na Afande Sele alishinda!

Maoni yangu: Darubini kali ulishinda kihalali kabisa


".....Au utapata zari kama Yesu alivyopaa?"
 
Bila mademu nani angepiga pamba,bila mademu nani angejiona bomba .... wale mliosomba shule za bweni haya mambo mliyaona

Nimeukumbuka huo wimbo.Bahati nzuri mimi nimesoma day kuanzia olevel hadi advance.
 
Hapana yule alikuwa solo artist.
kama umeshindwa kujua solo alikuwa wateule basi huna haki ya kusema ulikuwa unaufatilia mziki wa hiphip bongo kwa ukaribu
IMG_20190531_171401_194.jpeg
 
Yap yap Mox, Jay mo, Jafarai, Solo na Simba ndio waliunda wateule
huyu simba ndio yule alikujaga kuwa teja? wenzake wakawa wanamtungia nyimbo kama

-story tatu

-msela

jamaa akawa akihojiwa analalamika washkaji wamemtenga wanampiga majungu
 
mleta mada kweli unasema ulikuwa unafatilia hiphop na unashindwa kujua kuwa "BILA MADEMU" na "INGEKUWA VIPI" ni ngoma mbili tofauti na watu wawili tofuati
mleta mada alikuwa mtoto.Kuna sehemu juu kaulizwa kama solo alikuwa wateule akajibu hapana , yule alikuwa solo artist.Nkacheka nikaamua kutulia

Ingekuwa vip angekuwa hai drob na chief ramso wa kidato amrudishe k single..

Wandago wakajibu ingekuwa poa

YOTE HAYO HAYAJUI
 
kuhusu solo kuwa wateule hadi hapo juu nimpa na picha kabisa
mleta mada alikuwa mtoto.Kuna sehemu juu kaulizwa kama solo alikuwa wateule akajibu hapana , yule alikuwa solo artist.Nkacheka nikaamua kutulia

Ingekuwa vip angekuwa hai drob na chief ramso wa kidato amrudishe k single..

Wandago wakajibu ingekuwa poa

YOTE HAYO HAYAJUI
 
Dogo jifunze kidogo mziki


 
Afande anasema wotee, wote kimyaa!!!

Nilikuwa live nafuatilia hii makitu, Darubini kali ndo ulikuwa wimbo wa mashindano na Afande Sele alishinda!

Maoni yangu: Darubini kali ulishinda kihalali kabisa


".....Au utapata zari kama Yesu alivyopaa?"

Ahaha unanichekesha unanipa furaha au unafikiri utapata zari kama yesu alivyopaa , hacha kujidangaya kwa mungu si kwa mzungu kwamba utapita njia za panya

Mwanamke kama hataki penzi usimbake,kulazimisja penzi sawa na kulazimisha fani kisha unaleta utani, sasa inakuaje unataja taja majina nyimbo tena nyimbo nzima kwa mistari isiyo kuwa na vina

Moja ya beat kali kutoka kwa majani ni kweli jamaa alistahili ushinde ule
 
Back
Top Bottom