Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Kwa hiyo unakataa kua Darubini haikutoka mwaka huo au unakataa kua darubini iliimbwa na Afande Sele??unajua kuwa wikipedia hata ww unaweza ukaenda ukaandika,nimewahi kuedit mambo kibao kwenye taarifa mbalimbali,