Mr Sas
Member
- Feb 2, 2015
- 60
- 43
Kaka mziki ulianza kufatilia lini? Maana kipindi hicho Fid q alikuwa bado ni underground MC ila shindano lililofata ndo alikuwepo na halikufanyika maana uvumi ulienea kuwa ndo amepangwa achkue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka mziki ulianza kufatilia lini? Maana kipindi hicho Fid q alikuwa bado ni underground MC ila shindano lililofata ndo alikuwepo na halikufanyika maana uvumi ulienea kuwa ndo amepangwa achkue
Watu gani wewe.. Jamaa alishinda kwa haki....Mbona watu walidai jamaa alibebwa kwa ushindi wa mezani kuliko uwezo wake
Huyo unayemtaja hata kwenye ushiriki hakuwemo.. Kifupi alikuwa bado underground
Yaan walimuweka Inspector badala ya Ulamaa!???Washindi...
1. AFANDE SELE
2. INSPECTOR HAROUN
3. MANDOJO NA DOMOKAYa
4. Mwanafa
5. Prof Jay
Sele alistahili.. Ila Solo kukosekana hata 5 bora hakika walizingua sana..
.... Kwenye huu mtazamo naona vingi vihoja, yaani watangazaji ndio sasa mameneja,Hakuna s bila o
L bila o
Mwingine aitwe thang bila solo....
Solo aliua sana
Watu gani wewe.. Jamaa alishinda kwa haki....
Niliona ujinga sana watu walianza kumponda afande...kisa ni wa Moro kipindi kile walitegemea dar ingechukua hahahaaaa.....
.... Kwenye huu mtazamo naona vingi vihoja, yaani watangazaji ndio sasa mameneja,
Vidato sita nilivyopitia ndivyo vinavyonisaidia, uamuzi ukizingatia hata wakinibania ni kipaji tu, ni mtazamo tu.....
Darubini ilitoka baada ya kupewa tayari ufalme was rhymes lakini kwenye mashindano aliingia na wimbo mtazamo ambao aliwashirikisha wasanii Wawili.Afande sele alibebwa sana katika ushindi ule kwa kuchukuwa wimbo ambao tyr alibebwa pia
Nakataa Kipindi ambacho Afande anachukuwa Ufalme wa rhymes wimbo wa tarubini kali ulikuwa hautoka Mkuu.
Darubini ulitoka baada ya kupewa ushindi
Mkuu darubini kali ft ditto ndio afande alichukulia tuzo.
Mzee mwenzangu hebu tuwekane sawa mtazamo imetoka mwaka gani na darubini kali imetoka mwaka gani?
Nakumbuka mkali wa ryhmes afande sele aliperfom darubini kali.
Kidhati kabisa afande sele alistahili.
Acha kupotosha, Darubin kali ndiyo wimbo uliompa ushindi Afande Sele.
Jibu hilo hapo.darubini kali ilitoka mwaka gani tuanze hapo.Kama kumbukumbu zangu haziko sawa utanirekebisha ila nakumbuka Afande sele aliingia na mtazamo ambao aliwashirikisha wasanii wengine.We unadhani kwanini Solo theng alilaumu sana?
wewe hukumbuki vizuri, solo thang aliwalaumu kwenye wimbo wa kilio changu feat q chilla na sio kwenye mtazamodarubini kali ilitoka mwaka gani tuanze hapo.Kama kumbukumbu zangu haziko sawa utanirekebisha ila nakumbuka Afande sele aliingia na mtazamo ambao aliwashirikisha wasanii wengine.We unadhani kwanini Solo theng alilaumu sana?
mbona mgumu kuelewa hivyo, wimbo alioingia nao kwenye shindano ni darubini kali na sio mtazamoWewe hauna kumbukumbu nzuri labda.Afande sele baada ya kushinda akaachia ngoma yake ya Darubini kali ambayo ilifanya vizuri sana kwenye chat za bongo nadhani hapa ndo unajichanganya na kuzania ilitoka kabla ya mfalme wa rhymes.
Mtazamo ilikuwa kabla ya mashindano na ndo nyimbo aliyoingia na Sele.
vizuri mkuu, maana raia humu ni wabishi sanaJibu hilo hapo.View attachment 1111967
Jibu hilo hapo.View attachment 1111967
We kweli ulikuwa bado kinda kipindi hicho!!!.Alafu nashangaa solotheng alilalamika sana wakati hakuwa na ngoma kali sana kwa wakati ule.
Ngoma ilikuwa inaitwa KILIO CHANGU.Nakumbuka baada ya mfalme sele kupewa ule ushindi Solo theng alitoa ngoma ya Ndugu zangu ndugu zangu alitoa hisia zake nje alishindwa kuvumilia kabisa.
Ila jamaa alikuwa anajuwa kuchora mistari na flow tamu Sanaa
Wewe ushasema ulikuwa mdogo kipindi hicho hivyo acha kujibu baadhi ya maswali utachekesha.Hapana yule alikuwa solo artist.
2004 Farid alikuwa ni sisimizi tu kwenye ramani ya hiphop Tanzania... He was nobody
Yap yap Mox, Jay mo, Jafarai, Solo na Simba ndio waliunda wateuleHivi solo si alitokeaga wateule,,?
Man Dojo na Domokaya waliingia kwenye top 5?Washindi...
1. AFANDE SELE
2. INSPECTOR HAROUN
3. MANDOJO NA DOMOKAYa
4. Mwanafa
5. Prof Jay
Sele alistahili.. Ila Solo kukosekana hata 5 bora hakika walizingua sana..
Yah walikuwa namba 3..Man Dojo na Domokaya waliingia kwenye top 5?