hambiliki mwanangu
Senior Member
- Feb 9, 2016
- 113
- 123
Mkuu kuna Mahala hapa napingana na maneno yako, Nyimbo ya Mtazamo ilirekodiwa baada ya mashindano kuisha na ilikua ni kuthibitishia mashabiki kwamba hawana beef tena kati yao.
Na swala la kutoonekana kwenye video ilikua bahati mbaya tu kwa Prof Jay ndio alishindwa fika location siku hiyo maana alikua kikazi Tanga nadhani.
Solo Thang alikuepo na video walishoot morogoro ingia YouTube kaangalie vizuri tena mkuu.
Wimbo alioingia nao kinyang'anyironi ulikuwa MTAZAMO, Ila ilipofika hatua ya fainali ndio akaperform huo DARUBINI KALI.Acha kupotosha, Darubin kali ndiyo wimbo uliompa ushindi Afande Sele.
Toyota Celicamshindi wa kwanza lilikuwa gari, japo sikumbuki ni gari ya aina gani!!
Yaani mmeshangaa sana fid Q huyu hata kujulikana sio kihivyo,Jay Moe au Solo thang Ndo walistahilimzee baba, Fid Q kwa mwaka 2004 alikuwa bado sana,alikuwa bado ajatoa nyimbo ambazo kali kwa kipindi kile alikuwa bado under dog,kwangu mm solo alifaa kuchukua
Kuna marepa na marapa/kurap na kubwata/katuni tungo tata/Yaan walimuweka Inspector badala ya Ulamaa!???
Kweli walizingua.
Hata mimi namshangaaKwani si wewe mwenyewe ndiye uliyesema kipindi hicho mashindano yanafanyika ulikuwa bado mtoto!?.Sasa dharau imetoka wapi?.
Ndio maana kuna sehemu kuna mdau kauliza kama Solo alishawahi kuwa kundi la wateule we ukajibu hapana.Nikakushauri usijibu vitu usivovijua kwa sababu wakati hayo mambo yanatokea wewe ulikuwa bado mtoto.
Kuhusu swala la Solo kutokuwa na wimbo mkali kwa kipindi hicho,inategemea wewe na mtazamo wako juu ya wimbo mkali ukoje.
Wimbo ule mtazamo ulimpa ushindi, sababu ulikuwa hot, na mmiliki alikuwa baba Tunda, ndomana alipenya.Wi
Wimbo alioingia nao kinyang'anyironi ulikuwa MTAZAMO, Ila ilipofika hatua ya fainali ndio akaperform huo DARUBINI KALI.
Ikumbukwe shindano lilikuwa linaitwa mkali wa vina, sasa kwenye masuala ya vina, Solo Thang alikuwa ni hatari sana, vina mwanzo kati na mwisho.
HOMA YA DUNIAKwa upande wangu kura yangu ya turufu ilikuwa kwa Solo Thang Ulamar Mwanazuoni Aliyekomaa