Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Kwa muda mrefu nimeangalia kikosi chagu cha Simba na inanisikitisha pale ambapo Hussein anakuwa majeruhi au Kapombe kawa na majeraha mbadala wao hawapo Simba.
Tangu wapo Misri pre-season siwakubali kabisaa Israel na mwenzake Gadiel Mbaga.... Uongozi wa Simba utafute wachezaji wa uhakika wa kureplace nafasi zao!
Yaan Israel anaenda kucheza Caf na Red Arrows, Mazembe, AS Vita..... duuu jamani mnatupa taaaabu!😱
Tangu wapo Misri pre-season siwakubali kabisaa Israel na mwenzake Gadiel Mbaga.... Uongozi wa Simba utafute wachezaji wa uhakika wa kureplace nafasi zao!
Yaan Israel anaenda kucheza Caf na Red Arrows, Mazembe, AS Vita..... duuu jamani mnatupa taaaabu!😱