Nani mkali kati ya Haruna Niyonzima na Clatous Chama?

Nani mkali kati ya Haruna Niyonzima na Clatous Chama?

Yanga wanashida ya kupata huduma ya Chama kuliko kuwa na Haruna
Hapana Yanga hawajakaa sawa timu nzima kiujumla,ila wakiwezekana kuelewana vema basi Baba Mzazi atakuwa akifanyiwa standing ovation na kila shabiki ktk kila mechi!
 
Haruna pale Simba alishindwa Kucheza mpira
Kwani pale simba kuna wakati si panakuwaga kama genge la wahuni tu!? Hans pope na magori wanaweza wakamlamba hata vibao mwalimu na wakampangia na kikosi vilevile. Walishawahi mwacha Amis Tambwe ambae ndiye alikuwa top scorer Wa ligi kwa msimu huo kwa madai ameshuka kiwango na mzee. Alipokwenda yanga msimu uliofuata akawa top scorer tena.

Hushangai walifika hadi robo fainali ya CAF CL na bado msimu unafuata mwanzoni tu wakamtimua kocha aliyewafikisha huko kwa madai kwamba timu imeshuka morali na pia kocha hakuwa na mchango wowote ktk kufika kwao robo fainali!? Na hadi Leo swali la Julio halijajibiwa mana aliuliza kwamba ikiwa viongozi Wa simba wanasema kocha hakuwa na mchango ktk msimu ulopita je walitumia mbinu gani kuchukua ubingwa Wa TPL na kufika robo final kimataifa?
 
Mkuu Mo Dewji Mbona Kama huwa anawauma sana Yeye Kuifadhili Simba.

Sawa tuambie Haruna ameisaidiaje Yanga Kimataifa Kama Chama.
Ana mchango ktk kuisaidia Yanga kuvuna zile pointi zilizosaidia ktk upatikanaji Wa nafasi NNE za kimataifa tulizozipata mana baadhi ya points Yanga walipata haruna akiwepo Yanga. Lakini ukumbuke huyo huyo Haruna ndiye alikuwa game changer kwenye game yenu dhidi ya AS Vita mana ilikuwa ishashindikana ile. Kwa Mwana simba Wa kweli akikumbuka ile mechi lazima ashike moyo litajwapo jina la Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima!
 
Ukitaka kumjua baba mzazi waulize waarabu alichowafanya Misri Bahanuzi akazingua, Chama anawika kwenye mechi za vitimu vilivyopanda daraja kama Ihefu na Gwambina.
Nkana Fc, AS Vita, Mbabane Swallows, Utopolo fc Ni team zilizopanda daraja?

Chama siyo wa kumlinganisha na huyo Niyonzima, nadhani ukweli unaujua!
 
Vipi Marehemu Mutesa Mafisango?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Alikuwa mzuri ila wananutofauti kimajukumu, marehemu alikuwa na uwezo wa kuzuia na kushambulia na kufunga mara chache wakati Chama ni mzuri wankushambulia na kufunga.
Marehemu hakuwa na manjonjo mengi ila alitimiza wajibu wa kukamilifi wakati chama mbali na kutimiza majukumu yake anakuongezea na burudani kali.
 
Kwenu wadau wa Soka

Haruna Niyonzima na Clatous Chama Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.

Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi)

JE, NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.

"Soka ni Mchezo wa Wazi"
Umesahau kama Chauma nachenyewe ni Chama,,,...Ila Niyonzima mashine
 
Kwani pale simba kuna wakati si panakuwaga kama genge la wahuni tu!? Hans pope na magori wanaweza wakamlamba hata vibao mwalimu na wakampangia na kikosi vilevile. Walishawahi mwacha Amis Tambwe ambae ndiye alikuwa top scorer Wa ligi kwa msimu huo kwa madai ameshuka kiwango na mzee. Alipokwenda yanga msimu uliofuata akawa top scorer tena.

Hushangai walifika hadi robo fainali ya CAF CL na bado msimu unafuata mwanzoni tu wakamtimua kocha aliyewafikisha huko kwa madai kwamba timu imeshuka morali na pia kocha hakuwa na mchango wowote ktk kufika kwao robo fainali!? Na hadi Leo swali la Julio halijajibiwa mana aliuliza kwamba ikiwa viongozi Wa simba wanasema kocha hakuwa na mchango ktk msimu ulopita je walitumia mbinu gani kuchukua ubingwa Wa TPL na kufika robo final kimataifa?
Kocha aliyekuwepo kipindi Simba ikitolewa na UD SONGO hatua ya kwanza ni nani?

Unajua mkataba wake ulisemaje kuhusu mashindano ya CAF?
 
Ana mchango ktk kuisaidia Yanga kuvuna zile pointi zilizosaidia ktk upatikanaji Wa nafasi NNE za kimataifa tulizozipata mana baadhi ya points Yanga walipata haruna akiwepo Yanga. Lakini ukumbuke huyo huyo Haruna ndiye alikuwa game changer kwenye game yenu dhidi ya AS Vita mana ilikuwa ishashindikana ile. Kwa Mwana simba Wa kweli akikumbuka ile mechi lazima ashike moyo litajwapo jina la Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima!
Ukimuuliza Haruna kwamba Katika mashindano ya CAF AMEWAHI KUFANYA NINI..? Atajibu amesaidia kuipeleka timu ROBO FAINAL akiwa Simba na huyu Chama, Kagere, Okwi n.k

Je YANGA ambapo amecheza zaidi ya miaka 6 ameisaidia kufika hatua gani akiwa na Ngasa, Ngoma, Msuva, Tambwe n.k..?
 
Back
Top Bottom