Nani mkali kati ya Haruna Niyonzima na Clatous Chama?

Nani mkali kati ya Haruna Niyonzima na Clatous Chama?

Kwenu wadau wa Soka

Haruna Niyonzima na Clatous Chama Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.

Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi)

JE, NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.

"Soka ni Mchezo wa Wazi"
Hili swali konki sana.Binafsi nimefikiria sana kama nipo nafanya NECTA lakini hola!
 
Ikumbukwe goli la Chama Vs Plateau ndio limeivusha Simba kwenda round inayofuata.

#Mwamba
 
Kwenu wadau wa Soka

Haruna Niyonzima na Clatous Chama Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.

Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi)

JE, NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.

"Soka ni Mchezo wa Wazi"
Ahaa ulinganifu gani huo?
 
Ifike wakati watanzania muwe na adabu, unawezaje kufananisha Triple C na Ushuzi?
 
Back
Top Bottom