Nani mkali wa nyuzi zinazokujenga kimaisha humu jF?

Nani mkali wa nyuzi zinazokujenga kimaisha humu jF?

October 2pm

Senior Member
Joined
May 2, 2023
Posts
106
Reaction score
282
Nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania?

Kama kichwa kinavyoeleza. Nani humu ni mkali wa nyuzi zilizokusaidia kimaisha Kati ya hawa?

1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Robert Heriel Mtibeli
4. Deeppond
5. GENTAMYCINE

Unaweza kuelezea Uzi au Jambo ambalo amekujenga.
 
Nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania?

Kama kichwa kinavyoeleza. Nani humu ni mkali wa nyuzi zilizokusaidia kimaisha Kati ya hawa?

1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Robert Heriel Mtibeli
4. Deeppond
5. GENTAMYCINE

Unaweza kuelezea Uzi au Jambo ambalo amekujenga.
Mshana yupo vizuri zaidi
 
Kwa hiyo list yako mshana na kaka Robert wako vizuri.ila sasa paschal yeye siasa sana kwa hiyo huwezi kumlinganisha na kina Robert na mshana ambao wako angle nyingi mahusiano,imani,n.k.....besides wana jf wote wako vizuri kuna wakina Dr Santos anakuja juu na extrovert sijui kwanini me huwa nawakubali wa like tu post yangu yoyote.michango yao pia mizuri sana wana jf wengi wengine wapo kwa ajili ya kunichekesha nataka iwe hivyo
 
Wengine wanaanzisha Uzi wakali kutukanana na watu tu, Mara kashfa hasa ndo Nini , au nyuzi za kibaguz kumtag Nani na fulani ndio nataka mawazo yao.
 
Back
Top Bottom