Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa Jamaa wana nyuzi zenye material na ladha tofauti.Nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Kama kichwa kinavyoeleza. Nani humu ni mkali wa nyuzi zilizokusaidia kimaisha Kati ya hawa?
1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Robert Heriel Mtibeli
4. Deeppond
5. GENTAMYCINE
Unaweza kuelezea Uzi au Jambo ambalo amekujenga.
Nimeshangaa sanaInasaidia nini sasa hii? Bloo hauna kazi?
Shukrani kufahamu hilo kuhani wa hekalu jeusiKila mmoja anamchango wake humu.
Wapo Watu ni watoa Maoni tuu lakini Maoni Yao yanajenga Sana kuliko Sisi waanzisha mada.
Neno kuntu kabisaYaani kujenga maisha kupitia nyuzi!? mbona unayachukulia maisha poa sana.
Ila nyuzi za kukupa fikra mpya zipo nyingi, na hizi hazina mtu specific, anayetoa nyuzi nzuri leo, basi kesho anaweza akatoa nyuzi ukaona ameandika vitu vya hovyo tu.
But all in all, tunajifunza mengi kutokana na nyuzi na michango mbalimbali ya wadau kwa ujumla.
Mtoto ana mzigo wa kwenda huyo kifuani dodo 🤣🤣😋😋😋