Nani mkali wa nyuzi zinazokujenga kimaisha humu jF?

Nani mkali wa nyuzi zinazokujenga kimaisha humu jF?

Nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania?

Kama kichwa kinavyoeleza. Nani humu ni mkali wa nyuzi zilizokusaidia kimaisha Kati ya hawa?

1. Mshana Jr
2. Pascal Mayalla
3. Robert Heriel Mtibeli
4. Deeppond
5. GENTAMYCINE

Unaweza kuelezea Uzi au Jambo ambalo amekujenga.
hawa Jamaa wana nyuzi zenye material na ladha tofauti.
Na kwahivyo wote ni wa kali wa nyuzi kwenye maeneo ya taaluma na malengo ya nyuzi zao.
hii kura haina maana sana, ila sio mbaya
 
Duh naona wale machawa hawakubaliki kabisa humu [emoji1]
Kumbe nyuzi zao ni kusifia hazijengi

Ova
 
Yaani kujenga maisha kupitia nyuzi!? mbona unayachukulia maisha poa sana.

Ila nyuzi za kukupa fikra mpya zipo nyingi, na hizi hazina mtu specific, anayetoa nyuzi nzuri leo, basi kesho anaweza akatoa nyuzi ukaona ameandika vitu vya hovyo tu.

But all in all, tunajifunza mengi kutokana na nyuzi na michango mbalimbali ya wadau kwa ujumla.
 
Brother Mayala, Robert, Deeppond na mwingjne hujamwandika hapo, 'raraa reree'; hao binafsi wananisaidia........wananifunza kuishi bila chuki wala hasira. Sijaona wakipanick kwa yeyote yule hata wachokozwe vp. Anavyoshambuliwa Mayala humu wengine wangekuwa wamemaliza matusi yote. 'rara reree' si msemaji sana lakini ni appreciator wa watu wote.....very cool s/he is.
 
Yaani kujenga maisha kupitia nyuzi!? mbona unayachukulia maisha poa sana.

Ila nyuzi za kukupa fikra mpya zipo nyingi, na hizi hazina mtu specific, anayetoa nyuzi nzuri leo, basi kesho anaweza akatoa nyuzi ukaona ameandika vitu vya hovyo tu.

But all in all, tunajifunza mengi kutokana na nyuzi na michango mbalimbali ya wadau kwa ujumla.
Neno kuntu kabisa
 
Screenshot_20230926-140145.png

Kumbe wanamkubali wengi
 
Unabidii kwel hongera

Skuwai jua km JF kuna followers/ Direct message
 
Back
Top Bottom