Nani Mkubwa kati ya Mkuu wa Majeshi na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa?

Ni state nyuma ya state ya kawaida unayoiona. Ukiona kiongozi fulani amefanya uhalifu mkubwa wa wazi ila hapelekwi au amepelekwa mahakamani kisha hakimu/jaji anapatwa kigugumizi ujue hao ndio wenyewe...

Ukiona mtu maarufu amegombana na wakubwa kisha akawekwa ndani isivyo haki ujue hao ndio wenyewe...
Je deep state ni nini?
 
Usalama wa Taifa sio sehemu ya jeshi. Ni idara ya kiraia.
 
Idara ya usalama sio jeshi. Ni idara ya kiraia.
Aliyeongea kwenye msiba wa Magufuli kwa niaba yao ndio mkubwa wao, over. Au jiulize, wapi umesikia Idara ya Usalam imepinduq nchi?
 
Usalama sio sehemu ya jeshi, ni idara ya kiraia.
 
Uko sahihi
 
Hawa wanaovaa earphones ndio wanazicheza idara na taasisi nyingine zote katika nchi ndio maana usipokuwa na watu smart huko kila kitu kinaenda mrama.
Jf utani umezidi ndo tumefikia hii kweli?

Yani hawa hawa wanaovaa earphone kama ma dj ndo mnawafananisha na comando?
 
Wakuu hope mko poa

Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)

Karibu mtujuze mnaojua

Kiufupi hakuna mmoja ambae ni mkubwa kwa mwenziwe, Kiprotokali anaanza CDF, anafuata IGP, ndipo anafata DG, kilichopo ni kwamba wanaheshimiana kulingana na umbele wa idara zao na vipaumbele vya majukumu ya taasisi zao wanazoongoza pia kulingana na mgawanyo wa kimajukumu.
Tukiongelea upande wa CDF (Ni kiongozi wa Jeshi), yeye akiwa kama M/kiti wa Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, anajua siri nyingi kuliko kiongozi wa idara yoyote ile. Na pia yupo karibu na rais kwani swala zima la Ulinzi wa nchi lipo mikononi mwake. Na kwa upande wa Mkurugenzi wa usalama wa taifa DG (Ni kiongozi wa idara ya kiraia), pia kwa upande wake idara yake inahusika na Usalama wa nchi (Ushushushu) wote kila mmoja anawajibika moja kwa moja kwa rais kwa wakati wake, lakini DG anawasilisha taarifa zinazohitaji kufanyiwa kazi au mapungufu anayoyaona yanayohusu Ulinzi (Gaps) kwa Mwenyekiti wa Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Ulinzi na Usalama ni vitu vinavyotegemeana sana.
Maagent wa Idara ya Usalama wa taifa ni kama sensors, zinazotumika katika kutafuta habari mbali mbali zinazohusu maadui wa ndani, hivyo katika kurahisisha upatikanaji wa habari hizo ndipo wamepenyeza watu wao (agents) kwenye taasisi za serikali, taasisi binafsi, mashirika umma, mashirika ya serikali, mahoteli, asasi za serikali, asasi za kiraia, vyuo, na hata mitaani.
 
Sio mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, ni mkuu wa majeshi ya ulinzi ambazo ni kamandi ya wanamaji, ardhi,anga na JKT.

Watu ambacho hatuelewi ni kwamba mfumo wa utawala ulivyo Tanzania. Hapa Tz huwezi kupata cheo cha madaraka hata ngazi ya halmashauri bila kuwa TISS. So kwa macho yako utaona CDF ndo yuko juu ya DGI ila nyuma ya pazia wenyewe wanajua.
 
Wakuu hope mko poa

Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)

Karibu mtujuze mnaojua
Hakuna aliye karibu na Rais sababu wote ofisi zao haziko Ikulu

Hakuna suala la nani mkubwa wakati wanahudumu katika mifumo tofauti, mmoja ana rank ya kijeshi mwingine si mwanajeshi

Siri kila mmoja anazo znazohusu uwigo wa taasisi yake
 

Duuh mkuu JWTZ wako chini ya jeshi lipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…