Nani Mkubwa kati ya Mkuu wa Majeshi na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa?

Nani Mkubwa kati ya Mkuu wa Majeshi na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa?

Hapa mtabishana mpaka kesho, ni lazima ujue kazi za hizo taasisi mbili yaani jeshi na idara ya usalama wa taifa. Kazi za jeshi zinajulikana na wengi, za usalama je? Ukisoma sheria iliyounda idara ya usalama wa taifa, Tanzania intelligence &, security services act ya 1996 section ya 1 mpaka ya 5 inaeleza majukumu ya idara. Na moja ni kutafuta, kuchambua na kutunza taarifa zote muhimu popote zilipo.

Hii ina maana kwamba TISS wanafuta information popote, iwe ni bungeni, kijiweni jeshini nk. Kazi hii inaweza kua kupitia 'deep cover' au 'undercover informers' kwahyo usishangae kuona wamepenyeza watu jeshini au sehem yoyote ile. Kwa sura ya nje ni kweli CDF ni mkubwa sana kuliko viongozi wengine wa ulinzi na usalama, hata kiprotocal pia. Ila ukiingia kiundani kdg utakuta hata uteuzi wa CDF ni baada ya file lake kupita Tiss na wao kutoa mapendekezo msidhani jeshi halina control, kuna watu wanaliangalia kwa karibu mno ili kulinda usalama wa nchi.

Tiss wanadominate kwenye kila kitu, iwe uchumi, siasa, utawala nk. Wao wanatakiwa kutambua na kuzuia athari yoyote inayoweza kuikuta nchi. Tiss wakifeli hapo na taifa linakua dhaifu.

Ukweli ni kwamba ile taasisi ni 'dubwana' kubwa sana lililojificha chini ya neno 'taasisi' lakini kazi zake zipo hata kwenye vijiwe vya bodaboda au kanisani. Wakati wa kumuapisha Diwani Athumani, kama DGIS mpya, hayati Magufuli aliongea statement tata kwa CDF kua ''kuna watu pale jeshini anawaona wadogo kicheo ila wanaweza kumzidi kimadaraka", na akamaliza kwa kusema "that's how government work"
Wasipoelewa hapa basi tuwaache.
 
Halaf wakishakuwa wana hizo taarifa lakin jeshi wameamua lao kupitia ranks zao za majenerali na wameshatoa amri, hao usalama watafanya nini..watavamia kambi za jeshi?
Hizo top Ranks za TPDF nusu ni TISS huwezi fanikisha hayo mapinduzi. Elewa hivyo usikaze ubongo wako huo. We unadhani maofisa walioapa juzi wote ni kutoka kambini JWTZ? Kwa taarifa yako maofisa usalama kibao wameingizwa kule karibu kila mkoa unatoa ili wakapige ile kozi ya afisa cadet. Tuipe heshima yake ile IDARA INAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA SANA. NCHI KUWA SALAMA NA UTULIVU NI WAO. MUNGU AZIDI KUWAPA MOYO WA KUILINDA NA KUITETEA NCHI YETU. WALE NDIO WAZALENDO NO. 1 NCHINI HAPA. POPOTE WALIPO TISS WANYWE SODA MIMI NITALIPA.
 
Sitaki kuandika sana leo, lakini mfano hai msiba wa aliyekuwa rais wetu, kwanini watu walikuwa wameka kimya lakini baada ya kauli ya CDF mbona walitangaza? Huo ni mfano hai. Sina mengi.
Acha story za VIJIWENI wewe
 
Hakuna Rank / Cheo kinaitwa Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama
Kama una Maana CDF hapa utakuwa ama huelewi ama umeamua kupotosha
CDF ni Mkuu wa Majeshi ya ulinzi, Chief Of Defence Forces.
Na Majeshi ya ulinzi ama Defence Forces una Maana Kamandi tatu za TPDF, yaani Airforce, Navy na Nchi Kavu.
Siku hizi JKT nayo imekuwa Kamandi ya Jeshi.
Ni Hayo tu.
Tukirudi kwenye Swali la Mleta uzi.
Ki Protokali, CDF ni Senior kwa DG wa TISS
DG wa TISS ki Protokali ni Mdogo hata kwa IGP.
CDF,IGP, DG TISS, CGP, CGI, CGF na DG PCCB
Jambo afande[emoji61].

Hapa umemiza kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo top Ranks za TPDF nusu ni TISS huwezi fanikisha hayo mapinduzi. Elewa hivyo usikaze ubongo wako huo. We unadhani maofisa walioapa juzi wote ni kutoka kambini JWTZ? Kwa taarifa yako maofisa usalama kibao wameingizwa kule karibu kila mkoa unatoa ili wakapige ile kozi ya afisa cadet. Tuipe heshima yake ile IDARA INAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA SANA. NCHI KUWA SALAMA NA UTULIVU NI WAO. MUNGU AZIDI KUWAPA MOYO WA KUILINDA NA KUITETEA NCHI YETU. WALE NDIO WAZALENDO NO. 1 NCHINI HAPA. POPOTE WALIPO TISS WANYWE SODA MIMI NITALIPA.
Kitu unatakiwa ujue TISS wapo jeshini na wanajeshi wengi wapo TISS. Analyse for yourself. Kitu nashangaa ni watu kulinganisha nguvu za jeshi na mashushushu. Halaf kwanini mtu akiwa analinganisha anawaza tu mapinduzi na sio uwezo wa hizo taasisi?
 
Hapa mtabishana mpaka kesho, ni lazima ujue kazi za hizo taasisi mbili yaani jeshi na idara ya usalama wa taifa. Kazi za jeshi zinajulikana na wengi, za usalama je? Ukisoma sheria iliyounda idara ya usalama wa taifa, Tanzania intelligence &, security services act ya 1996 section ya 1 mpaka ya 5 inaeleza majukumu ya idara. Na moja ni kutafuta, kuchambua na kutunza taarifa zote muhimu popote zilipo.

Hii ina maana kwamba TISS wanafuta information popote, iwe ni bungeni, kijiweni jeshini nk. Kazi hii inaweza kua kupitia 'deep cover' au 'undercover informers' kwahyo usishangae kuona wamepenyeza watu jeshini au sehem yoyote ile. Kwa sura ya nje ni kweli CDF ni mkubwa sana kuliko viongozi wengine wa ulinzi na usalama, hata kiprotocal pia. Ila ukiingia kiundani kdg utakuta hata uteuzi wa CDF ni baada ya file lake kupita Tiss na wao kutoa mapendekezo msidhani jeshi halina control, kuna watu wanaliangalia kwa karibu mno ili kulinda usalama wa nchi.

Tiss wanadominate kwenye kila kitu, iwe uchumi, siasa, utawala nk. Wao wanatakiwa kutambua na kuzuia athari yoyote inayoweza kuikuta nchi. Tiss wakifeli hapo na taifa linakua dhaifu.

Ukweli ni kwamba ile taasisi ni 'dubwana' kubwa sana lililojificha chini ya neno 'taasisi' lakini kazi zake zipo hata kwenye vijiwe vya bodaboda au kanisani. Wakati wa kumuapisha Diwani Athumani, kama DGIS mpya, hayati Magufuli aliongea statement tata kwa CDF kua ''kuna watu pale jeshini anawaona wadogo kicheo ila wanaweza kumzidi kimadaraka", na akamaliza kwa kusema "that's how government work"
Jeshini hakuna watu, kuna wanajeshi 😄😄😄.. Kuna watu wana access ya moja kwa moja na RAIS kwenye kila idara hata huko TISS penyewe na diwani hawajui, na hata polisi na ipo hivyo hata JWTZ
 
Kitu unatakiwa ujue TISS wapo jeshini na wanajeshi wengi wapo TISS. Analyse for yourself. Kitu nashangaa ni watu kulinganisha nguvu za jeshi na mashushushu. Halaf kwanini mtu akiwa analinganisha anawaza tu mapinduzi na sio uwezo wa hizo taasisi?
JWTZ hawawezi kupenyeza watu wao TISS hawawezi na hawatokaa waweze ila TISS kuweka watu wao JWTZ ni lazima na wamewekwa wengi sana mpaka wasaidizi wa CDF hapo
 
JWTZ hawawezi kupenyeza watu wao TISS hawawezi na hawatokaa waweze ila TISS kuweka watu wao JWTZ ni lazima na wamewekwa wengi sana mpaka wasaidizi wa CDF hapo
Amka ndugu yangu..uliza vizuri kama hujui. Hata wakuu wa TISS wengine wametokea jeshini. Mfano ni Hans Kitine, alitolewa jeshini kwenda usalama kuwa mkuu. Wapo wengi sana. Asilimia ya usalama wengi wanachukuliwa kutoka jeshini. That's a fact. Kwasababu wanakuwa well drilled kwenye mambo ya uzalendo
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Watu wanavuta mipapai. Najua wanajeshi kibao (JWTZ) wapo TISS na hao hao badae hurudi jeshini baada ya kumaliza majukumu yao, au hendelea kubaki kule kule.
 
JWTZ hawawezi kupenyeza watu wao TISS hawawezi na hawatokaa waweze ila TISS kuweka watu wao JWTZ ni lazima na wamewekwa wengi sana mpaka wasaidizi wa CDF hapo
Hapa huna uhakika na ulisemalo. Kama TISS ifanyavyo basi hata JWTZ nao wameshafanya kitambo sana. Kiufupi hizi taasisi hakuna anayemuamini mwenzake kwa asilimia 100.
 
Kitu unatakiwa ujue TISS wapo jeshini na wanajeshi wengi wapo TISS. Analyse for yourself. Kitu nashangaa ni watu kulinganisha nguvu za jeshi na mashushushu. Halaf kwanini mtu akiwa analinganisha anawaza tu mapinduzi na sio uwezo wa hizo taasisi?
Tiss wengi wanaopelekwa Jwtz ikiwa ni kipindi cha mafunzo wengi hukimbia ama kabla ya kumaliza mafunzo au baada ya kumaliza mafunzo, lakini pia Tiss hufanya usaili kwa kuchukua baadhi ya askari waliopo jwtz, sio kama wanaondoka jwtz moja kwa moja bali hufanyia kazi wakiwa humo humo.
 
Halina mfumo wa intelligence ya Raia, ina intelligence ya jeshini humo humo, taarifa za nchi unazipata kwa raia na viongozi wao. Jeshini huo mfumo wa upatikanaji wa hizo taarifa hawana.wanapelelezana wao kwa wao, ndio maana wana polisi wao (MP) utawafananisha na polisi wa Raia kimamlaka?
IO wa JWTZ wanakusanya hadi data za nje na ndani. Na kuna JWTZ kibao TISS
 
Jeshi LA wananchi lina chombo chake cha intelligence unadhani linategemea tu TISS !!

TISS ni idara ya kiraia. Jeshi limekamilika lina police wake, wana intelijensia wake, hospitali zake,mahakama zake,hadi mashamba [emoji23][emoji23] sio mchezo.

Jeshi ni kama taifa ndani ya taifa linamekamilija haswa.
Huelewi chochote namna serikali inavyoendesha nchi. Kwa kifupi tu TISS ndo serikali ambayo ina idara zake ikiwepo hiyo JWTZ.
 
Back
Top Bottom