Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Wengi sana hawaelewiHuyo jamaa sio mwelewa kabisa ni la saba failures
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi sana hawaelewiHuyo jamaa sio mwelewa kabisa ni la saba failures
Kitu kikiitwa mfumo obviously lazima watafanya kazi pamoja. Even ww raia utafanya nao kaziJeshi na TISS ni Vitu tofauti, However huko Jeshini, Polisi, Magereza etc kuna watu wa TISS, wapo hata kwenye Ofisi za ki Raia.
Wanaitwa ma Shushushu.
Tukija kwenye Concept yako ya Intelinsia ya Jeshi, hata Polisi wana Intelijensia yao.
Intelligensia ya Jeshi iko chini ya Idara Moja inaitwa Military Intelince, ama MI.
MI inahusika zaidi na Usalama wa Jeshi, Tiuna Silaha ngapi na aina gani, jeshi letu liko katika hali, je kuna Jirani ama nchi yeyote ina plan za kutuvamia na lini ?, uwezo wa adui wetu ki jeshi ukoje ?
Je, Mgogoro wa Kijeshi wa Nchi jirani unatuathiri kwa Kiasi gani etc etc
Hii ndio Military Inteligence.
Ila katika Majukumu yake , MI ,Mara nyingi hujikuta nawafanya kazi na TISS
Atafanya Shughuli iliyompeleka huko nje ya MipakaKitu kikiitwa mfumo obviously lazima watafanya kazi pamoja. Even ww raia utafanya nao kazi
Nikuulize swali jepesi.. Tiss akiw nje ya mipaka anafanya shughul zipi ukitofautisha na shughuli za Mi-Int?
Sure na RECRUITMENT huchukua vijana wa jeshiniRahisi sana kuingiza JWTZ kwenda TISS kuliko TISS kwenda jeshini.
Halafu sio kila aliyepo JF ni RaiaKitu kikiitwa mfumo obviously lazima watafanya kazi pamoja. Even ww raia utafanya nao kazi
Nikuulize swali jepesi.. Tiss akiw nje ya mipaka anafanya shughul zipi ukitofautisha na shughuli za Mi-Int?
TISS wana recruite from all angles, sio from jeshini tu.Sure na RECRUITMENT huchukua vijana wa jeshini
Em define nin maana ya neno RAIA alaf utulieHalafu sio kila aliyepo JF ni Raia
Sijasema jeshini tu.. ila wanachukua na huko kwa asilimia kubwaTISS wana recruite from all angles, sio from jeshini tu.
😄😄😄Amka ndugu yangu..uliza vizuri kama hujui. Hata wakuu wa TISS wengine wametokea jeshini. Mfano ni Hans Kitine, alitolewa jeshini kwenda usalama kuwa mkuu. Wapo wengi sana. Asilimia ya usalama wengi wanachukuliwa kutoka jeshini. That's a fact. Kwasababu wanakuwa well drilled kwenye mambo ya uzalendo
Dah, didn't know that I am interacting with KidsSijasema jeshini tu.. ila wanachukua na huko kwa asilimia kubwa
Wewe bado mchanga sana kwenye mambo yanayohusu nchi, achana kabisa na kitu kinaitwa CDF maana bila hicho tungekuwa tunaongea kichina sasa hivi acha kabisa, maana watu walitaka kupindua meza...to take advantage.Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua
Hujui kitu ww ni popomaWe naona unaropoka. Military intelligence ni nini? Na inafanya kazi gani naomba unijibu kwa hoja
Mama ak ndio popoma Mbwa mweusi wwHujui kitu ww ni popoma
Sio kweli, CDF hata kwenye utambulisho huwa anatambulishwa kama mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. Na wote wale wa polisi, magereza, uhamiaji wanampigia saluteCDF sio Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama
CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Chief of Defence Forces
Na Deffence Forces ni zile Three Commandants (Kamandi) za jeshi, Airforce, Navy nchi Kavu.
Kuna Nchi nyingi tu hawana Navy, Land locked Countries ama nchi ambazo zimezungukwa na nchi nyingine na hazina Water Bodies / Bahari, Mfano Malawi etc
Kwa kwetu National Service imeongezwa kama Kamandi ya Jeshi.
Mfano ukiichukua TPS, Tanzania Prisons Services kuwa chini ya Jeshi, na Yenyewe itakuwa sehemu ya Defence Forces under CDF
Kimsingi CDF ni Mkuu wa Jeshi, kwa Tanzania ni Mkuu wa JWTZ na sio Mkuu wa Polisi, TISS,Magereza etc
Hao wana wakuu wao
Mnawaza kupindua tu.. wakati mada yenyewe haiongelei hata mambo ya kupindua. Sijui mna matatizo gani nyieKwa yako na wengine wasiowaelewa na kiprotocal CDF anaonekana yupo juu ila kimajukumu TISS ndo yupo above all na do moyo na injini dola. Mfumo wa huu wa utawala ali uasisi Nyerere na ndo maana nakwambia unavyosikia nchi nyingine jeshi linapindua nchi,kwa Tanzania haiwezekani maaana hakuna kiongozi wa jeshi anaweza kuorganize hilo jambo akafanikiwa,mashushu wamejaa kila kona na jeshini ndo wamejaa balaa.
CDF = CHIEF OF DEFENCE FORCESSio kweli, CDF hata kwenye utambulisho huwa anatambulishwa kama mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. Na wote wale wa polisi, magereza, uhamiaji wanampigia salute