Diwan Athumani PolisiKazi sana..Hans Kitine alitokea wapi
Duh
Wote wana title sawa yani wakubwa wa vyombo kiprotokali hapo Seniority haifanyi kazi maana wote ni wakuu kinachoangaliwa ili kupata mkubwa ni precedence na common sense kutokana na tukio husika .Kwa kuzingatia precedence anayekua mkubwa ni aliye assume ukuu wa chombo chake kabla ya wenzake.Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua
Hata Diwani ametokea PolisiKazi sana..Hans Kitine alitokea wapi
Duh
Jeshini kuna kitengo cha ujasusi kina fanya kazi zake hadi nje ya mipaka ya nchi hapa lazima ubishe. Jw anaenda kuwa mlinzi au mkufunzi kwani huko TISS hakuna hao watu?? Mnajifanya wajuaji huku hamjui kituUongo ulio wazi kabisa huu, IO wa JWTZ anakusanya taarifa wapi!! Kasome mjukumu ya TISS kwenye Sheria ya iliyounda TISS,halafu kasome majukumu ya JWTZ kikatiba Ni yapi.
Hao JWTZ waliopo TISS Sana Sana walinzi tu au wakufunzi wa masomo Fulani ya kimedani.
FYICGI hawezi kusomwa kabla ya CGF
Sina neno mkuu.umemaliza kazi
Wana tumejaa kijiweni tunasubiri deiwaka huku tunaongopeana😅Najiona hapo kijiweni 🤣🤣🤣
Aaah hapo kila mtu anajua Samia anapenda nnWana tumejaa kijiweni tunasubiri deiwaka huku tunaongopeana😅
aah mi sijui mwananguAaah hapo kila mtu anajua Samia anapenda nn
Karibu hapo kijiweni utajua tuaah mi sijui mwanangu
[emoji3][emoji3][emoji3] jipige kifuani na useme mm ni POPOMA NILIYETUKUKA. ww hujui lolote na unatumia nguvu bila akili. Kwa nje unaona CDF ni mkubwa ila kimajukumu ya KITAIFA, DGIS yuko juu ya hao wote ana yy ndio anawacontrol hao kila angle zao. Top ranks za TPDF officers, POLISI, MAGEREZA, FIRE NK kuna mapandikizi karibu nusu yake kutoka TISS. Kingine leo ujue TISS ndio idara yenye WATUMISHI WENGI zaidi kuliko idara nyingi sana. TISS wengi ni wale wasioonekana kuliko wale ambao utawaona ofisini. NB TISS pekee ndio hujua RAIS analala wapi, anakula nini, ataelekea wapi nk. Tuwapongeze watumishi wa IDARA hii muhimu nchini kwetu.Mama ak ndio popoma Mbwa mweusi ww
aah mikato ya bimkubwa mi sifatilii BroKaribu hapo kijiweni utajua tu
Acha uongo wewe jamaa[emoji3][emoji3][emoji3] jipige kifuani na useme mm ni POPOMA NILIYETUKUKA. ww hujui lolote na unatumia nguvu bila akili. Kwa nje unaona CDF ni mkubwa ila kimajukumu ya KITAIFA, DGIS yuko juu ya hao wote ana yy ndio anawacontrol hao kila angle zao. Top ranks za TPDF officers, POLISI, MAGEREZA, FIRE NK kuna mapandikizi karibu nusu yake kutoka TISS. Kingine leo ujue TISS ndio idara yenye WATUMISHI WENGI zaidi kuliko idara nyingi sana. TISS wengi ni wale wasioonekana kuliko wale ambao utawaona ofisini. NB TISS pekee ndio hujua RAIS analala wapi, anakula nini, ataelekea wapi nk. Tuwapongeze watumishi wa IDARA hii muhimu nchini kwetu.
Ukifika kijiweni utajua maana kuna wajuaji utadhani wanaishi ikuluaah mikato ya bimkubwa mi sifatilii Bro
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba tuko kijiweni au sio..... Basi subiri usikie na ujionee ukubwa wa TISS.Acha uongo wewe jamaa
wafanya usafi wa chamwino😅Ukifika kijiweni utajua maana kuna wajuaji utadhani wanaishi ikulu
Watz wote ni wajuaji wa uchumi, siasa, afya, biashara etcutadhani ndo
wafanya usafi wa chamwino😅
Na mambo mengine mengine😆Watz wote ni wajuaji wa uchumi, siasa, afya, biashara etc