Tlg
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 804
- 611
Jeshi LA wananchi lina chombo chake cha intelligence unadhani linategemea tu TISS !!Vyombo vyote vinategemeana, ndio maana hata hilo Jeshi la Ulinzi bila intelijensia imara haliwezi kuonekana Imara.
TISS ni idara ya kiraia. Jeshi limekamilika lina police wake, wana intelijensia wake, hospitali zake,mahakama zake,hadi mashamba [emoji23][emoji23] sio mchezo.
Jeshi ni kama taifa ndani ya taifa linamekamilija haswa.