CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Acha uongo boya wewe.Mimi nawafahama pia wanajeshi waliopandikizwa TISS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo boya wewe.Mimi nawafahama pia wanajeshi waliopandikizwa TISS
Uwa inatolewa na jeshi.sasa mimi sijui mkuu wa majeshi ni nani?
lini ilitolewa?Uwa inatolewa na jeshi.sasa mimi sijui mkuu wa majeshi ni nani?
Aliyetoa hotuba wakati wa msiba wa magu ni nani? Ukipata jibu huyo ndiye mkuu.Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua
Hakika hakuna!!Jeshi likiamua kitu,hakuna mtu analeta fyoko. .
Hapo ndio umewaza hadi sub mkuu..??[emoji19][emoji19]...Mkuu wa usalama ni mkubwa! Jeshi ni sehemu ya vyombo vya usalama vingine ni magereza, polisi, uhamiaji nk. Mkuu wa usalama anacontrol vyote hivyo
Kwa hiyo hao wanaopinduaga hua hamna watu wa usalamaKabla haujapindua Nchi, Tayari unakuwa tayari Mipango yako ishajulikana na Usalama wa Taifa na kudhibitiwa chini ya Ulinzi, Maana Usalama wapo kila Mahali
Usalama wa taifa kazi ya kinafki unaweza kuliwa tako wakati unatafuta informationUsalama wa Taifa ni mdogo,lakini ndie mwenye intelligence/taarifa nyingi za kijasusi,na mbinu nyingi za kupata hizo taarifa,hata akitaka ajue CDF,kama ana kibamia,au ni homosexual,au michepuko yote ya CDF,na viongozi wakuu wa nchi,anaweza kujua.
Ngoja nitafuteChief ungetuwekea na kapicha ingependeza
Agiza ndovu tano za motoJeshini Kuna kitengo kinaitwa millitary intelligence na kinaongozwa na major general.... Kimsingi CDF is the God father of all....jeshi ni kubwa kuliko chombo chchte kile
Chief watake radhi! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Usalama wa taifa kazi ya kinafki unaweza kuliwa tako wakati unatafuta information
Kikubwa ziende mkuu 😄😄Wana tumejaa kijiweni tunasubiri deiwaka huku tunaongopeana😅
We unafkiri ukiingia kwenye kumnanane za wajuba unaweza kutolewa rinda bila kukusudiaChief watake radhi! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Mwanajeshi akitekwa .... .. nyama ya reale... ...We unafkiri ukiingia kwenye kumnanane za wajuba unaweza kutolewa rinda bila kukusudia
Ha hanimechukua nondo Za humu nimeenda nazo maskani sasahivi kila mtu ananiogopa anajua namimi ni kitengo
Mlinzi hawezi kumiliki nyumba, japo umempa mamlaka ya kulinda kufuli lako unapokuwa umelala, ramani ya nyumba yako unaijua wewe, taarifa za familia yako unazo wewe, mpaka taarifa za idadi ya hao wanaokulindia nyumba yako unazo wewe,inamaana wenye nchi hamuwajui? basi jichanganyeni kwenye kumi na nane zao ndio mtawajua wenye nchi akina nani