Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?

Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?

Kuna public crimes na private crimes.

  1. Public crimes ni uhalifu dhidi ya public, hapa polisi wakipokea hint "taarifa za kiinteligencia" ndio wanachukua hatua kama kuzuia maandamano.
  2. Private Crimes ni uhalifu dhidi ya private individuals, polisi haipokei tip wala hai act on this, bali mwenye tip kuhusu private crimes anapaswa aende polisi kuripoti.
  3. Private crime si kama vile kumchinja mtoto wako na kumfanya kitoweo, Kuua ni kosa la jinai, regardless umemuua nani, kitendo cha mauaji kikisha fanyika ni public crime, hatua zinachukuliwa bila yoyote kuhitajika kuripoti, ila kutishiwa maisha ni private crime lazima ukaripoti polisi ndipo hatua zichukuliwe!.
  4. Hata polisi wakipita nyumbani kwako, wakuesikia unampiga mkeo au mwanao, hawata ingilia kwasababu it's a private affairs, Ila mkeo akishitaki ndio inakuwa a public crime.
  5. Hata polisi wakipita kwako wakaona mlango umevunjwa na futuma, hawaji kuuliza kulikoni, lazima ukaripoti!.
  6. Lissu alipofuatiliwa na like gari, Nissan nyeupe, alitoa taarifa kwenye Press Conference only, ili polisi wa act alipaswa akaripoti polisi.
  7. Hivyo Dr.Slaa or Dr. Mollel kama , ana ushahidi wa uhalifu wa Chadema akaripoti polisi na sio kuzungumzia mitaani au Bungeni.
  8. Natoa wito, mtu yoyote mwenye ushahidi wowote usiotia shaka kuwa Chadema inahusika na uhalifu wowote, akaripoti polisi na Jeshi makini la polisi likipokea taarifa hiyo, litafanya uchaguzi, likijiridhisha, hatua za uchaguzi wa kijinai zitafanyika na ikithibitishwa, then ndicho kitu hiki nilicho kisema hapa Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba! kinatakiwa kufanyika.
P.
Swali inakuja...kwanini waling'oa CCTV camera zenye footage zatukio ? Na ninani pia alitumwa na nani? Policcm lini washazungumzia missing CCTV camera za kwenye crime scene?? nani ali plant hizo camera na kwani camera waliziweka hapo? .....
 
Chadema mlivyo mataahira mnadhani kila kitu Duniani kinapelelezwa na majibu yanapatikana.

Nenda hata huko nchi zilizoendelea kuna cold cases kibao ambazo bado ushahidi haujapatikana pamoja na kwamba wanaweza kua na circumstantial evidences lakini kama hakuna hard evidence huwezi kupeleka mtu mahakamani.

Ni kwamba, hapa Duniani watu wengi tu wanafanya matukio mabaya na bado hawakamatwi na vyombo vya dola kutokana na kutokuacha hata tone la ushahidi.

Sasa kwa msingi huo, Chadema inawezekana kabisa mkawa mnafanya perfect crimes na bado msikamatwe unless someone from the inside kama alivyofanya Slaa atoe mwanga ama picha ya kinachoendelea kwa ndani.

Sasa mnatupia lawama vyombo vya dola eti vifanye upelelezi, sio kila kosa linafanyiwa upelelezi na mtuhumiwa kupatikana.

Ushahidi uliopo sasa ni wa kimazingira kua Chadema walimteka na kumuua Ben ingawa hakuna ushahidi mgumu wa kuwapeleka mahakamani. Hii pia imetokea kwa Lisu.

Chadema ni chama kinachojiendesha kama kikundi cha mafioso, Mafia style.
Chizi
 
Nyie pamabaneni mjue ukweli kama yule mungu wenu aliwekewa sumu au ni covid, ya Lissu lipo wazi kabisa aliyetaka kumuua ni nani
 
Dokta Slaa alikuwa kiongozi mwandamizi ndani ya cicle za Chadema kwa hiyo alipata nafasi ya kuyajua mengi sana ndani ya utumishi wake kule.

Kama ni uongo Chadema wangemshitaki kipindi hiki ili asiendelee kuwaharibia sifa na jina.

Ila kiuhalisia Chadema wanajua yule mzee ni mtu makini,anayetunza evidence za matukio.
Hivyo huenda wakaumbuka zaidi huko mahakamani.

Mtu makini? Anayekubali kurubuniwa kutumika na watawala na kulamba viatu vyao ni mtu makini kweli? Really?
Tell that to the birds!
 
Chadema mlivyo mataahira mnadhani kila kitu Duniani kinapelelezwa na majibu yanapatikana.

Nenda hata huko nchi zilizoendelea kuna cold cases kibao ambazo bado ushahidi haujapatikana pamoja na kwamba wanaweza kua na circumstantial evidences lakini kama hakuna hard evidence huwezi kupeleka mtu mahakamani.

Ni kwamba, hapa Duniani watu wengi tu wanafanya matukio mabaya na bado hawakamatwi na vyombo vya dola kutokana na kutokuacha hata tone la ushahidi.

Sasa kwa msingi huo, Chadema inawezekana kabisa mkawa mnafanya perfect crimes na bado msikamatwe unless someone from the inside kama alivyofanya Slaa atoe mwanga ama picha ya kinachoendelea kwa ndani.

Sasa mnatupia lawama vyombo vya dola eti vifanye upelelezi, sio kila kosa linafanyiwa upelelezi na mtuhumiwa kupatikana.

Ushahidi uliopo sasa ni wa kimazingira kua Chadema walimteka na kumuua Ben ingawa hakuna ushahidi mgumu wa kuwapeleka mahakamani. Hii pia imetokea kwa Lisu.

Chadema ni chama kinachojiendesha kama kikundi cha mafioso, Mafia style.
Eti cold cases 😂😂😂

Sirro amesema jeshi lake halijawahi kumkosa muhalifu,

Je nani aliyetoa amri ya kutoa CCTV camera kwenye nyumba ya waziri kalemani iliyokuwa eneo la tukio???

Inahitaji degree kujua kuwa Lissu alishambuliwa na MaCCM kwa amri ya JPM???
 
Chadema mlivyo mataahira mnadhani kila kitu Duniani kinapelelezwa na majibu yanapatikana.

Nenda hata huko nchi zilizoendelea kuna cold cases kibao ambazo bado ushahidi haujapatikana pamoja na kwamba wanaweza kua na circumstantial evidences lakini kama hakuna hard evidence huwezi kupeleka mtu mahakamani.

Ni kwamba, hapa Duniani watu wengi tu wanafanya matukio mabaya na bado hawakamatwi na vyombo vya dola kutokana na kutokuacha hata tone la ushahidi.

Sasa kwa msingi huo, Chadema inawezekana kabisa mkawa mnafanya perfect crimes na bado msikamatwe unless someone from the inside kama alivyofanya Slaa atoe mwanga ama picha ya kinachoendelea kwa ndani.

Sasa mnatupia lawama vyombo vya dola eti vifanye upelelezi, sio kila kosa linafanyiwa upelelezi na mtuhumiwa kupatikana.

Ushahidi uliopo sasa ni wa kimazingira kua Chadema walimteka na kumuua Ben ingawa hakuna ushahidi mgumu wa kuwapeleka mahakamani. Hii pia imetokea kwa Lisu.

Chadema ni chama kinachojiendesha kama kikundi cha mafioso, Mafia style.
Hard evidence gani inayotakiwa wakati upelelezi wake ni very simple.
Kwanza inatakiwa Polisi watupe majibu ni kwanini siku ya tukio Polisi ambao wanalinda nyumba za viongozi wa Bunge hawakuwepo eneo la tukio wakati wanatakiwa kuwepo saa 24.
Vilevile tuambiwe ni kwanini security Camera ambazo Bila shaka zilirekodi tukio zima ziliondolewa eneo la tukio muda mfupi baada ya tukio na mpaka sasa hatujaambiwa zilipo.
 
Ni wapuuzi wale walio toa CTV camera kwenye eneo la serikali,, na wale walinzi wanao linda eneo lile ni waCDM???
my take CCM yangu tukumbuke hatuta tawala milele yatakuja ibuka hizo skendo na sijui tutaficha wapi sura zetu,,
Dr Slaa na Dr Molel watu wa kuwaombea wanazeeka vibaya.. Pumzikeni achaneni na siasa zitawagharimu bule wapi wapi mzee wa Kongwa (Ndugai,)
Chacha wangwe....sumaye aliambiwa sumu haionjwi,akina zito walipotaka kufanya yao walau wakaishia kufukuzwa chama
 
Dk Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda Chadema walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dk Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai Chadema walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni Chadema kwa nini hawachukui hatua?
Watu walishasema kitambo kuwa Lissu alilipuliwa na wenzake wa Chadema kwani walimuona ni msaliti kama Zitto Kabwe
 
Eti cold cases 😂😂😂

Sirro amesema jeshi lake halijawahi kumkosa muhalifu,

Je nani aliyetoa amri ya kutoa CCTV camera kwenye nyumba ya waziri kalemani iliyokuwa eneo la tukio???

Inahitaji degree kujua kuwa Lissu alishambuliwa na MaCCM kwa amri ya JPM???
Tumia akili kudadavua mambo.
 
Kuna public crimes na private crimes.

  1. Public crimes ni uhalifu dhidi ya public, hapa polisi wakipokea hint "taarifa za kiinteligencia" ndio wanachukua hatua kama kuzuia maandamano.
  2. Private Crimes ni uhalifu dhidi ya private individuals, polisi haipokei tip wala hai act on this, bali mwenye tip kuhusu private crimes anapaswa aende polisi kuripoti.
  3. Private crime si kama vile kumchinja mtoto wako na kumfanya kitoweo, Kuua ni kosa la jinai, regardless umemuua nani, kitendo cha mauaji kikisha fanyika ni public crime, hatua zinachukuliwa bila yoyote kuhitajika kuripoti, ila kutishiwa maisha ni private crime lazima ukaripoti polisi ndipo hatua zichukuliwe!.
  4. Hata polisi wakipita nyumbani kwako, wakuesikia unampiga mkeo au mwanao, hawata ingilia kwasababu it's a private affairs, Ila mkeo akishitaki ndio inakuwa a public crime.
  5. Hata polisi wakipita kwako wakaona mlango umevunjwa na futuma, hawaji kuuliza kulikoni, lazima ukaripoti!.
  6. Lissu alipofuatiliwa na like gari, Nissan nyeupe, alitoa taarifa kwenye Press Conference only, ili polisi wa act alipaswa akaripoti polisi.
  7. Hivyo Dr.Slaa or Dr. Mollel kama , ana ushahidi wa uhalifu wa Chadema akaripoti polisi na sio kuzungumzia mitaani au Bungeni.
  8. Natoa wito, mtu yoyote mwenye ushahidi wowote usiotia shaka kuwa Chadema inahusika na uhalifu wowote, akaripoti polisi na Jeshi makini la polisi likipokea taarifa hiyo, litafanya uchaguzi, likijiridhisha, hatua za uchaguzi wa kijinai zitafanyika na ikithibitishwa, then ndicho kitu hiki nilicho kisema hapa Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba! kinatakiwa kufanyika.
P.
Can't write better than this one from Pascal Mayalla
 
Ikiwa chadema waliweza kuingia mahala pa serikali penye ulinzi mkali na kamera cctv wakashambulia kwa silaha nzito na wasijulikane basi nchi itakuwa idara za usalama zimekufa.Mwenye akili atafakari mara2
Kiukweli Kama hili ni kweli Chadema wanasubiri nini kuchukua nchi kwa mtutu maana wameweza kupiga mtu katikati ya nchi na hawakukamatwa hatuna jeshi Sasa.
 
Dk Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda Chadema walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dk Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai Chadema walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni Chadema kwa nini hawachukui hatua?
Na nani aliondoa zile CCTV camera pale Area D?
 
Chadema ni wazuri kwenye blame shifting. Wao lawama zote ni kwa Magufuli.

Matukio ya kigaidi wafanye wao lakini lawama anapewa Magufuli.

Tunashukuru Slaa, someone from inside ambae ametupatia mwanga hasa ni nini kilikua kinafanyika ndani ya chama.

Chama kinaendesha operation za kigaidi za kuteka watu na kuua watu halafu serikali inatupiwa lawama.

Ni chama cha kichaga lakini hata wachaga wenyewe wameanza kuona hiki chama ni Magumashi.
Magufuli hawezi kukwepa lawama swala la Lissu, alihusika na hilo liko wazi. Lissu alimtaja Makonda na Kapilimba kuhusika na shambulio dhidi yake Kapilimba ni former TISS DG na ni balozi kwanini hakanushi madai ya Lissu?

Kwanini Polisi wasiwahoji Dr Slaa, Moleli na Lissu. Kwanini Polisi mpaka leo hawajafanya uchunguzi? Kwanini CCTV camera ziliondolewa?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Chadema mlivyo mataahira mnadhani kila kitu Duniani kinapelelezwa na majibu yanapatikana.

Nenda hata huko nchi zilizoendelea kuna cold cases kibao ambazo bado ushahidi haujapatikana pamoja na kwamba wanaweza kua na circumstantial evidences lakini kama hakuna hard evidence huwezi kupeleka mtu mahakamani.

Ni kwamba, hapa Duniani watu wengi tu wanafanya matukio mabaya na bado hawakamatwi na vyombo vya dola kutokana na kutokuacha hata tone la ushahidi.

Sasa kwa msingi huo, Chadema inawezekana kabisa mkawa mnafanya perfect crimes na bado msikamatwe unless someone from the inside kama alivyofanya Slaa atoe mwanga ama picha ya kinachoendelea kwa ndani.

Sasa mnatupia lawama vyombo vya dola eti vifanye upelelezi, sio kila kosa linafanyiwa upelelezi na mtuhumiwa kupatikana.

Ushahidi uliopo sasa ni wa kimazingira kua Chadema walimteka na kumuua Ben ingawa hakuna ushahidi mgumu wa kuwapeleka mahakamani. Hii pia imetokea kwa Lisu.

Chadema ni chama kinachojiendesha kama kikundi cha mafioso, Mafia style.
Mbowe alipopelekwa mahakamani kwa kesi ya ugaidi mlikuwa na hard evidence zaidi ya hearsay?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
yoga alishaandika jinsi mpango wa kumpiga risasi Lisu ulivyoaandaliwa, ulivyotekelezwa na waliohusika, hayo mengi ya hilo zee ni utaahira wake wa siku zote alionao
Kwa hyo na wee unamuamini yoga .yoga Ni mtunzi tu Kam watuzi wengine

Dr slaa na mollel waojiwe kutoka na jinai walizokuwa wanazifanya
 
Dokta Slaa alikuwa kiongozi mwandamizi ndani ya cicle za Chadema kwa hiyo alipata nafasi ya kuyajua mengi sana ndani ya utumishi wake kule.

Kama ni uongo Chadema wangemshitaki kipindi hiki ili asiendelee kuwaharibia sifa na jina.

Ila kiuhalisia Chadema wanajua yule mzee ni mtu makini,anayetunza evidence za matukio.
Hivyo huenda wakaumbuka zaidi huko mahakamani.
Inaonekana jmaa Ana ushid wa kutosha
 
Slaa hatafuti uteuzi alfu hajasema moja kwa Moja kuwa eti cdm wanausika kummiminia lisu risas Bali amesema anayajuwa Mambo yaliokuwa yanafanyika cdm kwa utekeji na mauaji ya wafusi wake
Hvyo cdm tulia sindano iwaingie vzr

Kuna vifo vya utata sna chadema na hi fukuza fukuza wanachama wake siyo POA kbsa
 
Tatizo la Slaa ni kukimbia Upadri, akaoa akamkimbia Mke, akaoa tena akakimbiwa na mke Canada. Upweke unamsumbua sana. Anataka aongeee Chadema wamjibu apate faraja
 
Back
Top Bottom