Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?

Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?

Chadema mlivyo mataahira mnadhani kila kitu Duniani kinapelelezwa na majibu yanapatikana.

Nenda hata huko nchi zilizoendelea kuna cold cases kibao ambazo bado ushahidi haujapatikana pamoja na kwamba wanaweza kua na circumstantial evidences lakini kama hakuna hard evidence huwezi kupeleka mtu mahakamani.

Ni kwamba, hapa Duniani watu wengi tu wanafanya matukio mabaya na bado hawakamatwi na vyombo vya dola kutokana na kutokuacha hata tone la ushahidi.

Sasa kwa msingi huo, Chadema inawezekana kabisa mkawa mnafanya perfect crimes na bado msikamatwe unless someone from the inside kama alivyofanya Slaa atoe mwanga ama picha ya kinachoendelea kwa ndani.

Sasa mnatupia lawama vyombo vya dola eti vifanye upelelezi, sio kila kosa linafanyiwa upelelezi na mtuhumiwa kupatikana.

Ushahidi uliopo sasa ni wa kimazingira kua Chadema walimteka na kumuua Ben ingawa hakuna ushahidi mgumu wa kuwapeleka mahakamani. Hii pia imetokea kwa Lisu.

Chadema ni chama kinachojiendesha kama kikundi cha mafioso, Mafia style.
Kabla ya CHADEMA kuwa matahira wewe ndiye tahira wa Magufuli, hakuna ushahidi wa mazingira uliosemwa na Dr slaa, Dr slaa alichokisema ni ushahidi wa uhakika kuwa CHADEMA wanakikosi cha utekaji,ambacho kilimteka Joseph ambaye ni mwanachama wa CHADEMA.

Kwa kuwa Dr slaa alikuwa ni mwanachama na kiongozi wa CHADEMA huwezi ukasema ushahidi wake ni wa mazingira kwa kuwa kama alikuwa ni mwanachama na kiongozi wa CHADEMA kwa hiyo alihusika katika uundaji wa kikundi hicho, na mipango yote ya kikundi hicho alikuwa anahusika,ndio maana wahusika wa kikundi hicho walikuwa wanakwenda kutoa taarifa kwake mara baada ya kufanya tukio,kwa kuwa yeye ndiye aliyekuwa ana watuma.

Hata tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi Dr slaa analifahamu kwa kuwa waliofanya ni vijana wake waliokuwa wanatumwa na yeye kwenda kufanya matukio na baada ya kufanya matukio wanampelekea taarifa yeye kama kiongozi wa chama na kwamba yeye ndiye aliye watuma kufanya tukio hilo.

Ndiomaana ninaunga mkono hoja kuwa Dr slaa aliyehusika kuunda kikosi cha kufanya ugaidi yupo, na kaeleza wazi kuwa CHADEMA ndio waliohusika kwenye matukio hayo kwa kupitia kikosi cha ugaidi ambacho Dr slaa alihusika kukiuunda na kukituma kwenda kufanya matukio mbalimbali ya ugaidi na kutoa mrejesho kwake, serekali iwakamate CHADEMA iwapeleke mahakamani shahidi ni Dr slaa aliyehusika katika hatua zote za uundaji wa kikosi hicho na kukituma kwenda kufanya matukio na kisha kupelekewa mrejesho wa mafanikio ya tukio husika,kama na yeye hatakuwa mutuhumiwa wa matukio moja kwa moja.

Kwa msaada wa Dr slaa, pia apatikane Joseph kwa kuwa alinusurika kuuawa, aeleze jinsi alivyowatambua wanachama wenzake ambao walikuwa kwenye kikosi cha ugaidi na jinsi walivyomteka n. K.

Ushahidi wa mazingira unaotufanya tuamini kuwa wahusika wakuu wa matukio yote haya ni Magufuli na serekali yake na ambao unaitwa ushahidi wa mazingira ni vile vitendo visivyo vya kiutu alivyofanyiwa Tundu Lissu,Lissu kapigwa risasi, Magufuli kakataa kugharamia matibabu yake wakati ilikuwa ni haki yake, kavuliwa ubunge wakati yuko kwenye harakati za kupigania uhai wake hospitalini, siku ya kupigwa risasi camera ziliondolewa kwa mazingira yote haya na mengine ambayo ni mengi kwa nini watu wasiseme kuwa Magufuli na watu wake ndio wahusika?.
 
Kwa hiyo chadema ilimpiga lissu risasi Kwa kuwa alikuwa anacretisize magufuli
 
Dkt. Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda CHADEMA walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dkt. Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai CHADEMA walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni CHADEMA kwa nini hawachukui hatua?
Mtasema wanaminya demokrasia- wanawaacha mkutane na hukumu ya haki ya Mungu
 
Chadema ni wazuri kwenye blame shifting. Wao lawama zote ni kwa Magufuli.

Matukio ya kigaidi wafanye wao lakini lawama anapewa Magufuli.

Tunashukuru Slaa, someone from inside ambae ametupatia mwanga hasa ni nini kilikua kinafanyika ndani ya chama.

Chama kinaendesha operation za kigaidi za kuteka watu na kuua watu halafu serikali inatupiwa lawama.

Ni chama cha kichaga lakini hata wachaga wenyewe wameanza kuona hiki chama ni Magumashi.
Labda hao chadema walirusha ngumi!!!!! Watueleza Kama wanasilaha? Na kama anajua chadema wanapohifadhi kwa nini akae kimya muda wote?
 
Dereva wa Lissu Kwann amefichwa mpaka Leo? Na usishangae tukaambiwa alishakufa. Tumia akili kutafakari. CCTV Camera ilichukuliwa na polisi na walitoa taarifa kwamba ni sehemu ya ushahidi. Sasa wahusika wote wamekimbia nchi, polisi wafanye nn?
Usipende kukaririshwa jambo tumia kichwa chako kufikiri. Mtu aliyeuawa mwaka jana polisi hufanya upelelezi na kumkamata mhusika, vinginevyo kusingekuwa na kesi za mauaji kwa kisingizio aliyetendewa (marehemu) hayupo.
Uliwezaje kujiunga JF of GT's wakati unakitumia kichwa chako kufugia nywele tu.
 
Dkt. Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda CHADEMA walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dkt. Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai CHADEMA walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni CHADEMA kwa nini hawachukui hatua?
Usipotoshe amesema hana taarifa za kutosha kuhusu Lissu kupigwa risasi hivyo hawezi kulizungumzia.
 
Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni CHADEMA kwa nini hawachukui hatua?
hata sisi tunashangaa Police wa Tanzania - DR. Slaa na Molel ni watu muhimu sana maana wametueleza pa kuanzia. CDM hawana dola iweje Police ishindwe kupeleleza kesi hii muhimu ili ijulikane wazi, IGP naye anasema anamsubiri dereva wa Lissu.
 
Dkt. Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda CHADEMA walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dkt. Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai CHADEMA walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni CHADEMA kwa nini hawachukui hatua?
Hujawahi kusikia Mbowe akishikiliwa kwa ugaidi na serikali?
 
Kuna public crimes na private crimes.

  1. Public crimes ni uhalifu dhidi ya public, hapa polisi wakipokea hint "taarifa za kiinteligencia" ndio wanachukua hatua kama kuzuia maandamano.
  2. Private Crimes ni uhalifu dhidi ya private individuals, polisi haipokei tip wala hai act on this, bali mwenye tip kuhusu private crimes anapaswa aende polisi kuripoti.
  3. Private crime si kama vile kumchinja mtoto wako na kumfanya kitoweo, Kuua ni kosa la jinai, regardless umemuua nani, kitendo cha mauaji kikisha fanyika ni public crime, hatua zinachukuliwa bila yoyote kuhitajika kuripoti, ila kutishiwa maisha ni private crime lazima ukaripoti polisi ndipo hatua zichukuliwe!.
  4. Hata polisi wakipita nyumbani kwako, wakuesikia unampiga mkeo au mwanao, hawata ingilia kwasababu it's a private affairs, Ila mkeo akishitaki ndio inakuwa a public crime.
  5. Hata polisi wakipita kwako wakaona mlango umevunjwa na futuma, hawaji kuuliza kulikoni, lazima ukaripoti!.
  6. Lissu alipofuatiliwa na like gari, Nissan nyeupe, alitoa taarifa kwenye Press Conference only, ili polisi wa act alipaswa akaripoti polisi.
  7. Hivyo Dr.Slaa or Dr. Mollel kama , ana ushahidi wa uhalifu wa Chadema akaripoti polisi na sio kuzungumzia mitaani au Bungeni.
  8. Natoa wito, mtu yoyote mwenye ushahidi wowote usiotia shaka kuwa Chadema inahusika na uhalifu wowote, akaripoti polisi na Jeshi makini la polisi likipokea taarifa hiyo, litafanya uchaguzi, likijiridhisha, hatua za uchaguzi wa kijinai zitafanyika na ikithibitishwa, then ndicho kitu hiki nilicho kisema hapa Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba! kinatakiwa kufanyika.
P.
Ngoja kwanza, achana na kingereza kingi au terminology za kisheria; hivi hata kwa mwendawazi ambaye walau anao uwezo wa kuvuka barabara asigongwe na gari, anaweza kuhisi kwamba Chadema ndio walihusika kumpiga risasi Lissu? Mbona kupigwa risasi Lissu kulikua na viashiria vingi sana ambayo hadi leo vinaonesha nani alihusika? Tusijidhalilishe kiasi kikubwa namna hi, tuziepuke aibu ndogo ndogo jamani. Ni kama wale ambao wanatumia msuli mkubwa sana kuonesha kwamba enzi za Magu pesa ilipigwa sana kuliko kawaida, wanataka tuamini, wananchi wa kawaida tumekataa but this doenst mean kwamba hatumjui nani alimpiga risasi Tundu, hilo linaeleweka hata kwa mwendawazimu
 
Dkt. Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda CHADEMA walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dkt. Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai CHADEMA walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni CHADEMA kwa nini hawachukui hatua?
Kwa wenye uwezo mkubw wa kufikili tu. SHETANI AMTOI SHETANI MWEZAKE. by JESUS.
 
Ngoja kwanza, achana na kingereza kingi au terminology za kisheria; hivi hata kwa mwendawazi ambaye walau anao uwezo wa kuvuka barabara asigongwe na gari, anaweza kuhisi kwamba Chadema ndio walihusika kumpiga risasi Lissu? Mbona kupigwa risasi Lissu kulikua na viashiria vingi sana ambayo hadi leo vinaonesha nani alihusika? Tusijidhalilishe kiasi kikubwa namna hi, tuziepuke aibu ndogo ndogo jamani. Ni kama wale ambao wanatumia msuli mkubwa sana kuonesha kwamba enzi za Magu pesa ilipigwa sana kuliko kawaida, wanataka tuamini, wananchi wa kawaida tumekataa but this doenst mean kwamba hatumjui nani alimpiga risasi Tundu, hilo linaeleweka hata kwa mwendawazimu
Kuna polisi aliniambia Kama serikari watasema wawaachie polisi wawe huru kwenye swala la Lisu kupigwa risasi ndani ya nusu saa watanzania washatajiwa Nani Muhusika. Mkuu wataitaja sana chadema kuhusika lakini mioyo yao inawasuta midomo yao kwa kushindwa kusema ukweli ambao hata Mungu anaujua.
 
Dkt. Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda CHADEMA walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dkt. Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai CHADEMA walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni CHADEMA kwa nini hawachukui hatua?
tuseme ni kweli chadema sasa swali ni je kwann unahisi siku husika suma walitoka lindo?kwmaba walihongwa? swali la pili kwann camera iling'olewa na ikasemwa ni ya mbunge binafsi wa ccm na unahisi ingekuwa ni wao afu ccm ikubali yaishe huku wakihitaji sn chadema ife,akili zetu tuongezage kidogo
 
Slaa hatafuti uteuzi alfu hajasema moja kwa Moja kuwa eti cdm wanausika kummiminia lisu risas Bali amesema anayajuwa Mambo yaliokuwa yanafanyika cdm kwa utekeji na mauaji ya wafusi wake
Hvyo cdm tulia sindano iwaingie vzr

Kuna vifo vya utata sna chadema na hi fukuza fukuza wanachama wake siyo POA kbsa
Yeye Slaa kuondoka CDM kuna mfutia jinai zilizofanyika akiwa CDM? iko wapi collective responsibility... mbona mna act as if CDM ni li-roboti fulani hivi wakati CDM ni watu, na hao watu Slaa ni mmoja wao, ndio hao watu wawajibishwe akiwemo Slaa kama kiongozi wa CDM wa kipindi hicho.

Au yeye kuhama CDM basi ameoshwa kwa damu ya mwanakondoo na kuwa mweupe kama theluji? Think!
 
Back
Top Bottom