Uchaguzi 2020 Nani mkweli kati ya hawa watu? Spika, NEC au CHADEMA?

Toka wamemfanyia Lissu hujuma siamini Tena mifumo yetu ya utoaji haki na usimamizi wa sheria credibility Yao ni questionable kwangu Mimi naona wanaweza fanya lolote na wasifanywe chochote.
 
Cha msingi ni kukaa kimya mpaka taifa litakapopata mtawala anaejalu haki umoja maridhiano na utu kwasasa hatuna hizo tunu. Sheria zetu katika awamu ya tano Zina macho zinaamua Nani aadhibiwe Nani aachwe japo kosa ni lilelile.
 
Vipi kama ikionekana Chadema hawakupeleka majina? Uhalali utatoka wapi?
Uhalali wa nini tena jamaa yetu?
km kulinda tu kura CDM haikulinda na Halima Mdee akashuhudia wizi
wapo Kina Silinde Katambi, Mwambe, Waitara, Gekul na wengine walifanyiwa vitimbi na wamepita kwa vitimbwi mpaka wameukwaa uwaziri na unaibu, kwanini wasikubali yaishe
watake wasitake Waliopitishwa wamepita na posho na Magari wanayakwaa sasa hivi kabla ya Febr 2021
Na CDM ikikataa wasiwakilishwe sawa watawawakiisha Watanzania waliobaki
Dalili ya Chama hiki kupotea naiona kabisa hasa baada ya kuondoe uwezekano wa wakubwa kushtakiwa
 
Kama mtu alichapwa risasi 30 na bado akafukuzwa ubunge na mahakama ikabariki unadhani ni kipi kingine ambacho hawawezi kufanya?
Maelezo yako ni butu, hayana mantiki kabisa. Kwa hiyo mtu akipigwa risasi akapona alafu hauzulii bungeni aachwe tu? Wakati anafanya ziara Ulaya na Usa? Kisa nini? Jikite kwenye mada toa pumba zako.
 
Ukumbuke kuwa Mtendaji Mkuu wa NEC, tarehe 23 alisema hawajapokea majina toka CHADEMA. Tarehe 23 ni kabla au baada ya tarehe 19?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jombaa mm binafsi nakuelewa vizuri sana. Kwa kumzibitishia huyo ndugu kwa hizo tarehe na yeye kustick kwenye ushahidi wa gazeti la mwanachi!! Ni vyema ukatupia kakideo ka mahela akitoa ufafanuzi kwa hayo mambo.
 
Kwa hiyo kama walikuwa wanatendewa dhuluma kama unavyodai, ndio wafoji saini kuonesha kuwa katibu mkuu wa chama ameidhinisha!? Vipi Nusrat Hanje naye alitolewa gerezani na Chadema ili kufanikisha naye awe mbunge!?
Je unaweza kuthibitisha kwamba saini ilifojiwa!? Hata hivyo, umetoka njenya wazo kuu, ambalo ni kwamba huoni kitendo cha wanachama wenu 19 kuridhia kuunga mkono juhudi, vyovyote vile, ni ishara kukataa ubabe usio na tija wa chama chako!!?
 
Tukubaliane kuwa chadema ilipeleka majina NEC, nao NEC wakawasilisha kwa Bw. Job.

Sasa chadema wamewavua uanachama hao covid 19..

Kinachofuata ni nini? Bw Job na NEC wanasemaje kwa mbunge akivuliwa uanachama wake.

Huyu bwana Job nadhani ni Dikteta zaidi kuliko yeyote kwa sasa[emoji23][emoji23].. eee huyo mwingine anaweza kuwa na 2.

Maana yeye anaamini kishamuapisha mtu basi hadi afe ama hilo bunge lifike kikomo.
 
Mkuu umetutendea haki mkuu ubarikiwe.Pale NEC inahusika na huu uchafuzi 100%.sijaelewa mantiki ya NEC kubishana na uongozi wa chadema kuhusu viti maalumu.Walipaswa kuwasikiliza maana ndo wenye wabunge
 
Je unaweza kuthibitisha kwamba saini ilifojiwa!? Hata hivyo, umetoka njenya wazo kuu, ambalo ni kwamba huoni kitendo cha wanachama wenu 19 kuridhia kuunga mkono juhudi, vyovyote vile, ni ishara kukataa ubabe usio na tija wa chama chako!!?
Wenye kosa ni NEC, wao migogoro ya ndani haiwahusu walipaswa kucheki na mnyika.
 
Nadhani CDM wanapaswa kuiandikia NEC barua kuijulisha kwamba hao wabunge wamepoteza sifa za kuendelea kuwa wabunge sababu wamefukuzwa chama.
Halafu NEC ndio walijulishe bunge.
Hapana mkuu, utaratibu kwa Sasa ni spika kuitaarifu tume juu ya wabunge hao kukosa sifa ya kikatiba ya kuwa na chama
 
Kuwapongeza kina mdee kwa uasi ndani ya chama Chao ni kukosa uzalendo.Mwanachama yeyote anapaswa kuheshimu taratibu za vyama vyao
 
Maelezo yako ni butu, hayana mantiki kabisa. Kwa hiyo mtu akipigwa risasi akapona alafu hauzulii bungeni aachwe tu? Wakati anafanya ziara Ulaya na Usa? Kisa nini? Jikite kwenye mada toa pumba zako.
Mwambie mama yako na mapaja yake .
 
Nadhani CDM wanapaswa kuiandikia NEC barua kuijulisha kwamba hao wabunge wamepoteza sifa za kuendelea kuwa wabunge sababu wamefukuzwa chama.
Halafu NEC ndio walijulishe bunge.
Ninavyofahamu CDM wakiwavua uanchama wanatakiwa kulitaarifu Bunge na/au NEC hatimaye Spika huijulisha NEC kuhusu nafasi wazi za mbunge/wabunge kwa sifa ya kukosa chama.
Naweza kusahihishwa/kukosolewa.
Ajabu ya CCM Mpya ni kuwatetea hawa Viti Maalum ili wapate fedha za misaada.Donor county!
 

Kati ya wale wabunge 19 kuna mbunge mmoja alipigiwa simu na kiongozi mkubwa wa chadema na alimwambia wamepata nafasi 19 but watachaguliwa kwa kanda because viti ni vichache sana

Hiyo ilikuwa ni 2 weeks before sakata lote kutokea so maybe chadema walikubaliana kukubali au ni kweli walipeleka
 
Mkuu mbona unahangaika?

Hivi ni nani mwenye uwezo wa kwenda kumtoa mahabusu na kuamuru kesi ifutwe kati ya chadema spika na neki?....

Kwenye zile form za ubunge hakuna sahihi ya mnyika so hakuna swala la kufoji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…