Mia ya noti
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 866
- 1,234
Nadhani CHADEMA wanapaswa kuiandikia NEC barua kuijulisha kwamba hao wabunge wamepoteza sifa za kuendelea kuwa wabunge sababu wamefukuzwa chama.
Halafu NEC ndio walijulishe bunge.
Halafu NEC ndio walijulishe bunge.